Mwanamke unawezaje kumjibu jeuri mume wako?

Mwanamke unawezaje kumjibu jeuri mume wako?

Ruyama

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2019
Posts
367
Reaction score
563
Hivi mwanamke unakuwa mjeuri unamjibu mumeo utakavyo.

Mwanaume ametoka kwenye mishe mishe kurudi nyumbani ni war zone na sio comfort zone.

1629362466699.png

 
Wanaume kutopenda majukumu ni moja ya sababu ya kuongezeka kwa single mothers
Kuna kifo cha mzazi wa kiume
Kuna uhuni wa mwanaume, ile kila sehemu mwanaume anapita na mwanamke anayemuona

Sababu ni nyingi
 
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
 
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi,unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe.Ukitoka job unafuata watoto shule.Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni,dinner then kusali .Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Jifariji tu
 
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi,unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe.Ukitoka job unafuata watoto shule.Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni,dinner then kusali .Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
[emoji848] hapa kazi ipo...
 
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi,unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe.Ukitoka job unafuata watoto shule.Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni,dinner then kusali .Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Hapo sikuungi mkono kwa vyovyote.

Wote wakifanya hivyo tunakuwa na dunia ya aina gani?!. Watoto bila Baba nidhamu aibu tupu.
 
Wanaume wenyewe siku hizi wapo basi,
Wanapenda mtelezo mpaka wanaolewa na wenzao, wengine wanapenda kulelewa na sugar mamy
Basi tabu tupu.
 
Back
Top Bottom