cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Single father wana stress sana na wako wengi humuYaani acha tu hakuna watu wenye hali ngumu kiakili kama single father tena awe na mtoto/watoto wa kike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Single father wana stress sana na wako wengi humuYaani acha tu hakuna watu wenye hali ngumu kiakili kama single father tena awe na mtoto/watoto wa kike
HongeraUkiwa na Yesu hakuna upweke.
Hujajibu swali.Wanaume kutopenda majukumu ni moja ya sababu ya kuongezeka kwa single mothers
Kuna kifo cha mzazi wa kiume
Kuna uhuni wa mwanaume, ile kila sehemu mwanaume anapita na mwanamke anayemuona
Sababu ni nyingi
Mimi naomba unitoe hapo kwenye vilazaNatutaendelea kuwajibu tutakavyo na kuwa wajeuri wanaume wenyewe vilaza hamueleweki.[emoji23][emoji23]
Inferiority complex inakusumbua baki na ujinga wako ka unaona kutesa wanawake na kuvumilia ujinga wenu ndio uanauke wewe ni total failure.Wenye shule zao, kuwa single mother ni kawaida, maana wengi wao uangalia mapicha picha ya Western world kwamba hayo ndo Maisha lakini hawaangalii mapicha picha ya Eastern world kwamba hayo ndo maisha halisi. Eastern world China, India, Pakistan, Japan, Korea divorce ni kidogo sana, pia shule uku kwetu mabonde kwinama ilikuja juzi juzi tu ndo maana mtu akiwa na degree uchwara mabega yanafika mawinguni wanawake kwa wanaume. Pia single mother wenye kipato kidogo ni Shida sana, wenye kipato kikubwa uchagua wanaume pia malezi ya watoto uzalisha mashoga, wavuta bangi , na single mother wengine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] soon nitachambwa humu, acha nichangamushe gengeNakujaga kwenye mada kama hizi na ku-search jina lako kabisa ili nione umesemaje. Unanifurahishaga sana [emoji16][emoji16][emoji16]
Single father kwanini huwa mna stress na hasira hivo mda wote kukumbuka waliowaumiza nikisikia hivo hufurahi sana kahTupo mkuu. Nasi tunapambana na hali yetu. Mambo haya magumu sana yaani .Ni kuomba mwongozo wa Mungu na kuwekeza sana huko. Yote kwa yote Mungu ni mwema [emoji1545][emoji1545]
My life my choice yani kuishi nitakavyo nikujikomoa are you.serious?Unajikomoa mwenyewe, mwanamke ni kama Yai au kioo ukijifanya mjuaji utaumia
99%Mimi naomba unitoe hapo kwenye vilaza
mimi sio mwanaume kilaza
mimi ni mwanaume ninayejitambua
Tatizo mnajiconsole bure tu. Nakumbuka mtoto wangu alishamweleza shangazi yake, nanukuu "nampenda sana baba yangu ila ananikwaza kwa kutoishi nyumba moja na mama yangu..." mwisho wa kunukuu. Tunawakwaza watoto wetu! hiyo ya kutembeleana haitoshi watoto wanafurahi wakibisha hodi kwa chumba cha baba na mama. Hata ndani kama wananuniana na kunyimana K. Huo ndiyo ukweliWewe yote maisha. Kwani kuwa single mama ,Watoto ndo hawamwoni baba yao ?Wangu Wanamwona Baba yao. Tena.wakati wa likizo wanakwenda kwa Baba yao. Na Week-ends mbili kwa mwezi wako kwa Baba yao.
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Ndio,sijajibu swaliHujajibu swali.
Jamani kuna raha yake kuwa na mtu anaekujali kukuliza hayo maswali(umekula?, Uko wapi?, mbona umechelewa? NK).Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Sina dildo wala nini.Wa kunikuna ninae sema kila mtu yupo kwake.Ukitoka hapo unachukua zako dildo huna habari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1480][emoji1480][emoji1480][emoji1480]
Eee tumo japo wengne hatuishi na watoto wetu ila tunaumia maana tulitaman kuraise watoto wetu katka familia iliyokamilika tukiwa na mama zao lakin ikashindikana kuwapa kile walichokistahili kwaajir ya ubinafsi wetu wazazi.Single father wana stress sana na wako wengi humu
Umerithi,na wewe utarithisha kwa watoto, hasa wa kike. Watataka kufurahia unachohisi ni Raha..Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] war zoneHivi mwanamke unakuwa mjeuri unamjibu mumeo utakavyo.
Mwanaume ametoka kwenye mishe mishe kurudi nyumbani ni war zone na sio comfort zone.
Kama maandiko yalivyo tuelekeza mkuu wangu... Ishini nao kwa akili maana hawa ni viumbe zaifu!!!! Ukiishi na mwanamke kwa akili amini huwezi kufeli, iyo zarau unayosema nakuelewa mkuu ila tafuta sababu kwann anakuzarau ukiijua sababu rekebisha then muendelee na maisha ya furahaHivi mwanamke unakuwa mjeuri unamjibu mumeo utakavyo.
Mwanaume ametoka kwenye mishe mishe kurudi nyumbani ni war zone na sio comfort zone.