Mwanamke unawezaje kumjibu jeuri mume wako?

Mwanamke unawezaje kumjibu jeuri mume wako?

Ukiwa hauna
1)pesa
2)show kali
3)maamuzi magumu&msimamo
lazma utadharaulikaa tuu na majibu ya hovyo utapewa, haiwezekan mwanamke apaze sauti juu yako,, wanini sasa fukuza mpe likizo akakae kwao mwaka mzima akija kurud akil imekaa sawa, na usijutie maamuz yako[emoji41][emoji41][emoji41] achen kuwa na misimamo kama ya kike na yakitoto, usikubak mwnanmke akupande kichwan, atakuarbia maisha na kukidharau milele yote upate aibu mpka kiama ni muda wa kubadirika na kuachana na utoto kuwaendekeza hawa viumbe
 
Eee tumo japo wengne hatuishi na watoto wetu ila tunaumia maana tulitaman kuraise watoto wetu katka familia iliyokamilika tukiwa na mama zao lakin ikashindikana kuwapa kile walichokistahili kwaajir ya ubinafsi wetu wazazi
Duh in short single father, single mother kuanzisha nao mahusiano huwa mtihani maana wako so bitter kuwaza wenzi mara watoto. It's better single mother/ father wakaoana ila kuoa asiye na mtoto ni mtihani mkubwa mno na mbaya situation huwaathiri watoto nakuwa wakorofi hawaleleki
 
Duh in short single father, single mother kuanzisha nao mahusiano huwa mtihani maana wako so bitter kuwaza wenzi mara watoto. It's better single mother/ father wakaoana ila kuoa asiye na mtoto ni mtihani mkubwa mno na mbaya situation huwaathiri watoto nakuwa wakorofi hawaleleki
Hamna ata sema single parents tuna chukulia upendo tofauti na watu wa kawaida amabao hawana watoto. We only focus on our children rather than ourselves tunaitaji tuone mtu tunae kuwa nae kwenye mahusiano anaonesha upendo mkubwa kwa watoto wetu pasipo ubaguzi kuliko ata anaounesha kwetu sisi wenyewe
 
Hamna ata sema single parents tuna chukulia upendo tofauti na watu wa kawaida amabao hawana watoto. We only focus on our children rather than ourselves tunaitaji tuone mtu tunae kuwa nae kwenye mahusiano anaonesha upendo mkubwa kwa watoto wetu pasipo ubaguzi kuliko ata anaounesha kwetu sisi wenyewe
Ila ni changamoto kwa mwezi mpya daily kuleta mambo ya past pia lawama kwa mom mpya, in short hii situations huwa ni ngumu na complicated imagine mpenzi wako thinking about watoto, he doesn't care relations yeye hyo watoto, that's why its better single parents wawe wapenzi hii inakuwa rahisi maana Wana share common interests na wamekuwa wazoefu so kila mtu atakuwa na care na watoto wote, maana ngoma droo shida sasa wengi hupenda kuoa/ kuolewa na wasio na watoto wakati wao wanayo tayari.

So hizi mambo naona ngumu
 
Ukiwa hauna
1)pesa
2)show kali
3)maamuzi magumu&msimamo
lazma utadharaulikaa tuu na majibu ya hovyo utapewa, haiwezekan mwanamke apaze sauti juu yako,, wanini sasa fukuza mpe likizo akakae kwao mwaka mzima akija kurud akil imekaa sawa, na usijutie maamuz yako[emoji41][emoji41][emoji41] achen kuwa na misimamo kama ya kike na yakitoto, usikubak mwnanmke akupande kichwan, atakuarbia maisha na kukidharau milele yote upate aibu mpka kiama ni muda wa kubadirika na kuachana na utoto kuwaendekeza hawa viumbe

Ukitaka kumuacha mwanamke muache kabisa

Ni ujinga wa mwisho kumpa likizo
Unatengeneza tatizo kubwa zaidi kama haujui
 
Unapotosha kwa makusudi, single mothers ndo wanaoteseka…. na tushakubaliana kuwa hawafai kuolewa.[emoji276]
Ma single father nyie mna stress sana za watoto, Mimi nawajua vizuri bora muoe single mothers Ili mkamilishane malalamiko have yenu maana mna uchungu mioyoni mwenu
 
Ma single father nyie mna stress sana za watoto, Mimi nawajua vizuri bora muoe single mothers Ili mkamilishane malalamiko have yenu maana mna uchungu mioyoni mwenu

Unajaribu kubalance mzani tu, hakuna uchungu labda uzeeni huko kama watoto watakengeuka…. under 'room temperature' single mother hafai kuolewa.
 
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Pole kwa kujifariji na kuudanganya moyo wako
 
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Unaposali unasali kumuomba nani sasa na umeshaamua kuwa muasi!
 
Sina dildo wala nini.Wa kunikuna ninae sema kila mtu yupo kwake.
Umalaya tu hakuna lingine hapo mtizame kwanza nyooooooooooooh ptuuuuuuuuuuuuuuuh [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
 
Back
Top Bottom