Mwanamke unawezaje kumjibu jeuri mume wako?

Mwanamke unawezaje kumjibu jeuri mume wako?

Huwa nacheka sana kumuona binti maisha yake ya mtaani ni full kujiachia na kuwapanga washkaji halafu kila jumapili anakwenda kuomba baraka za mwenyezi MUNGU amfungulie njia apate mahusiano serious.

Sasa why huwa watoto wa kike wanakuwa so gameishly Playful na toying around serious men?!
Wanahisi kwa Mungu ni kama betting kwamba unaangaa mikeka mingi alaf unasubiria uone utakao tiki.

Wengne wanaomba Mungu awape wame bora huku wameisha jiwekea sifa za nje za wanaume wanaowataka yan wanampangia Mungu
 
Nguvu ya mwanamke ipo mdomoni, hivyo ni jambo la kiasili mwanamke kutumia silaha ya mdomo kumshinda mwanaume.

Ukilijua hili wala usishindane nao.
 
Wanahisi kwa Mungu ni kama betting kwamba unaangaa mikeka mingi alaf unasubiria uone utakao tiki.

Wengne wanaomba Mungu awape wame bora huku wameisha jiwekea sifa za nje za wanaume wanaowataka yan wanampangia Mungu
Na hapa ndipo wengi wanaishia kutumika na ndio mtego mabinti wengi wanaingia. Hii kutaka mwanaume aje vile yeye anataka.

Me nimeona mabinti wengi wakishaanza kuishi na wanaume waliowataka huwa wanaanza kubadilika baadae wanaanza kutoka tena nje sababu anagundua jamaa hana ile character ya mwanaume anaemhitaji ila ana mwonekano anaoutaka.

Hapo tayari anakuwa ameshakichezea. Ujauzito juu muda si mrefu wanatemana anaanza kutafuta at least mwanaume anaepumua.
 
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.

Until.....
 
Na hapa ndipo wengi wanaishia kutumika na ndio mtego mabinti wengi wanaingia. Hii kutaka mwanaume aje vile yeye anataka.

Me nimeona mabinti wengi wakishaanza kuishi na wanaume waliowataka huwa wanaanza kubadilika baadae wanaanza kutoka tena nje sababu anagundua jamaa hana ile character ya mwanaume anaemhitaji ila ana mwonekano anaoutaka.

Hapo tayari anakuwa ameshakichezea. Ujauzito juu muda si mrefu wanatemana anaanza kutafuta at least mwanaume anaepumua.
Na hapa ndipo wengi wanaishia kutumika na ndio mtego mabinti wengi wanaingia. Hii kutaka mwanaume aje vile yeye anataka.

Me nimeona mabinti wengi wakishaanza kuishi na wanaume waliowataka huwa wanaanza kubadilika baadae wanaanza kutoka tena nje sababu anagundua jamaa hana ile character ya mwanaume anaemhitaji ila ana mwonekano anaoutaka.

Hapo tayari anakuwa ameshakichezea. Ujauzito juu muda si mrefu wanatemana anaanza kutafuta at least mwanaume anaepumua.
Binadamu kuna mda huwa tuna ujinga mwingi yan akili na mawazo yetu tunataka yafanane naya Mungu
 
Kuokoka ni kujifariji tu sababu mziki wa stress huwa si wa kitoto kuuhimili.

Ila yote kwa yote balaa ni umri ukienda miaka kuanzia 35 kwenda juuu. Aiseee that's HELL . Na kwa maisha ya bongo haya sijui hali itakuwaje huko mbeleni.
Miaka 35+ unamaanisha unakuwa na hamu zaidi ya kusex??
 
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Huko ni kujifariji tuu ila ukweli hakuna mwanamke anayependa kuwa single.
 
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Lakini kumbuka unawatesa Watoto wako kwa kukosa Mapenzi ya Mzazi mmoja,na athari zake utakuja kuziona baadae huko!!
 
Natutaendelea kuwajibu tutakavyo na kuwa wajeuri wanaume wenyewe vilaza hamueleweki.[emoji23][emoji23]
Pole hujakutana na Wanaume wenye misimamo yao,utajuta kwa nini ulijibu jeuri!!
 
Mwanaume ukishamchoka, hana jipya unaloona unalipata kwake, alishakutenda sana moyo ukageuka chekecheke unakuwa na hasira naye na unamjibu vibaya sana
 
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Unajifariji tu, maana aliyeanzisha ndoa alikuwa na hekima mara 10000.
 
Wanaume kutopenda majukumu ni moja ya sababu ya kuongezeka kwa single mothers
Kuna kifo cha mzazi wa kiume
Kuna uhuni wa mwanaume, ile kila sehemu mwanaume anapita na mwanamke anayemuona

Sababu ni we naona huwajui wanawake wenzako
 
Hizo ni porojo zao tu nyuma ya keyboard, mwenyewe amekwisha kinzana na comment yake na kudai kuna jamaa yupo nae anamkaza vilivyo mpaka anataka tena kuolewa.
Huko ni kujifariji tuu ila ukweli hakuna mwanamke anayependa kuwa single.

Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Ila wanawake kwa kupotoshana, kuna bichwa maji moja itafanyia kazi comment hii jumla jumla. Usikute muandishi mwenyewe alikimbilia ku login na kuandika akiwa kamaliza kupigwa pump hajanawa/futa hata utomvu huko makuTupora.
 
Back
Top Bottom