Mwanamke unawezaje kumjibu jeuri mume wako?

Mwanamke unawezaje kumjibu jeuri mume wako?

Mjalaaana kabisa weye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwani uongo, kalelewa na baba wa kambo…. mzazi wake alikuwa anatuma 'pesa' tu kupitia malaika.
 
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Upuuuuuuuuuuzi
 
Mungu ni wetu sote.
Sasa kama unajua MUNGU anakuhusu mbona misingi yake haufuati..... Unaishi namna unavyotaka wewe na utashi wako?! Hiyo hofu yako au heshima kwa mamlaka yake ni ipi?!

Si bora ukitaka kusali ukatoe kafara ya damu kwa huyo shetani unaemtukuza kimatendo zaidi kuliko kuzuga kusali kwa MUNGU na haushiki kanuni zake?!
 
Sasa kama unajua MUNGU anakuhusu mbona misingi yake haufuati..... Unaishi namna unavyotaka wewe na utashi wako?! Hiyo hofu yako au heshima kwa mamlaka yake ni ipi?!

Si bora ukitaka kusali ukatoe kafara ya damu kwa huyo shetani unaemtukuza kimatendo zaidi kuliko kuzuga kusali kwa MUNGU na haushiki kanuni zake?!
Kwa taarifa yako nimeokoka na ninampenda Yesu ambae ni bwana na Mwokozi wangu. Kwani mtu ukiwa divorced ni dhambi kuwa na uhusiano na mtu mwingine ambae Mungu akipenda soon tutapanda madhabahuni. Kwa Yesu kuna raha sana.
 
Kwa taarifa yako nimeokoka na ninampenda Yesu ambae ni bwana na Mwokozi wangu. Kwani mtu ukiwa divorced ni dhambi kuwa na uhusiano na mtu mwingine ambae Mungu akipenda soon tutapanda madhabahuni. Kwa Yesu kuna raha sana.
My dear hebu acha kubadilika badilika. Topic ilikuwa ni single motherhood. Wewe ilivyokuwa unacomment ni kama mtu anaetukuza maisha ya uhuru kingono.

Umeonyesha kauli ya kuwa wewe unafurahia maisha ya nje ya mahusiano halali ya ndoa kulea watoto mwenyewe na kuwa na side dudes wa kukupiga ukuni pale unapopata hamu. Je ,huyo Yesu unaesema unampenda na ndio muokozi wako ndie anaekuagiza kuishi maisha ya mfumo huo wa kingono?!

Wewe unahisi sisi tunavyokemea na kulaani tabia za wanawake kujiamulia tu kuzaa na kuwa na mahusiano kiholela kulala lala na wanaume hovyo ni kwasababu tunawaonea wivu?! Hivi mjaliwe namna gani nyie dada zetu ndipo mjue sisi tunawalaumu ili kuwalinda ?!

Wanawake mkijaliwa muonekano wa likes za Instagram huwa mnakuwa vichwa panzi sana katika kupanga maisha sababu ya kuhisi uzuri wenu ni mtaji na hautaisha. Mnaishi mkidhania wanaume wataendelea wafukuzia milele na hamjikumbushi kuwa uzee huwa unawanyang'anya ujana mapema sana kuliko wanaume sisi.

Huku mbeleni mtakapo anza lipia madhira ya maisha yenu haya ya kimburula ya usichana sisi hatutakuwapo kiweza kuwalinda wala kuwatetea tena sababu itakuwa ni too late......

Muwe mnatuelewa basi acheni ubishi ubishi usio na maana..... Aaaaaaaaaaaaaaagh[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
 
Kwa taarifa yako nimeokoka na ninampenda Yesu ambae ni bwana na Mwokozi wangu. Kwani mtu ukiwa divorced ni dhambi kuwa na uhusiano na mtu mwingine ambae Mungu akipenda soon tutapanda madhabahuni. Kwa Yesu kuna raha sana.
Umeokoka afu unazini.?? Mpuuz kweli mbinguni co kwa bibi yako sawa. Unajiwekea defense mechanism za nini.

Hata maana ya kuokoka unaijua..? Eti umeokoka alafu misingi aliyoiweka Mungu huifuati.

Nyie ndio mnatupigia kelele tu mtaani na lukifanya mumeokoka kumbe wazinifu tu. Zinaa haipambiki mshenzi wewe olewa sio unazini zini afu unajikwatua hapa oohh mimeokoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My dear hebu acha kubadilika badilika. Topic ilikuwa ni single motherhood. Wewe ilivyokuwa unacomment ni kama mtu anaetukuza maisha ya uhuru kingono.

Umeonyesha kauli ya kuwa wewe unafurahia maisha ya nje ya mahusiano halali ya ndoa kulea watoto mwenyewe na kuwa na side dudes wa kukupiga ukuni pale unapopata hamu. Je ,huyo Yesu unaesema unampenda na ndio muokozi wako ndie anaekuagiza kuishi maisha ya mfumo huo wa kingono?!

Wewe unahisi sisi tunavyokemea na kulaani tabia za wanawake kujiamulia tu kuzaa na kuwa na mahusiano kiholela kulala lala na wanaume hovyo ni kwasababu tunawaonea wivu?! Hivi mjaliwe namna gani nyie dada zetu ndipo mjue sisi tunawalaumu ili kuwalinda ?!

Wanawake mkijaliwa muonekano wa likes za Instagram huwa mnakuwa vichwa panzi sana katika kupanga maisha sababu ya kuhisi uzuri wenu ni mtaji na hautaisha. Mnaishi mkidhania wanaume wataendelea wafukuzia milele na hamjikumbushi kuwa uzee huwa unawanyang'anya ujana mapema sana kuliko wanaume sisi.

Huku mbeleni mtakapo anza lipia madhira ya maisha yenu haya ya kimburula ya usichana sisi hatutakuwapo kiweza kuwalinda wala kuwatetea tena sababu itakuwa ni too late......

Muwe mnatuelewa basi acheni ubishi ubishi usio na maana..... Aaaaaaaaaaaaaaagh[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Eti ameokoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume kutopenda majukumu ni moja ya sababu ya kuongezeka kwa single mothers
Kuna kifo cha mzazi wa kiume
Kuna uhuni wa mwanaume, ile kila sehemu mwanaume anapita na mwanamke anayemuona

Sababu ni nyingi
Ambazo unaona ni sawa kuzitumia kufanya jeuri!?
 
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Ila watoto wanaolelewa na single mother wa kike nawo huwa single mother.
 
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Wale single mama wasio na kazi nitabu tupu,hawapati haya uliyouaongelea hapa,full kujiuza.
 
Kwa taarifa yako nimeokoka na ninampenda Yesu ambae ni bwana na Mwokozi wangu. Kwani mtu ukiwa divorced ni dhambi kuwa na uhusiano na mtu mwingine ambae Mungu akipenda soon tutapanda madhabahuni. Kwa Yesu kuna raha sana.
Mathayo 19:7-9
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁷ Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?
⁸ Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
⁹ Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.

Luka16:18.
Marko 10:2-12

Ebu acha kumsingizia Mungu kwenye uzinzi wako kama kweli upo divorced
 
Mathayo 19:7-9
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁷ Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?
⁸ Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
⁹ Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.

Luka16:18.
Marko 10:2-12

Ebu acha kumsingizia Mungu kwenye uzinzi wako kama kweli upp divorced
Aisee hiki kizazi.chetu akija masia kwa sasa single mother's wengi wataenda motoni na vijana pia maana tunakesha kanisani lakni bado hatujaijua sheria ya Mungu
 
Aisee hiki kizazi.chetu akija masia kwa sasa single mother's wengi wataenda motoni na vijana pia maana tunakesha kanisani lakni bado hatujaijua sheria ya Mungu
Na shetan hutumia mwanya huo huo wa kutokuijui sheria ya Mungu kutupumbaza tujione tupo sahihi
 
Na shetan hutumia mwanya huo huo wa kutokuijui sheria ya Mungu kutupumbaza tujione tupo sahihi
Ukishaona mtu anajiita nimeokoka mkatae maana hata yesu mwenyewe alipoambiwa yu mwema alikataa akasema alie mwema na mwenye haki ni mmoja tu naye ni Mungu
 
Ukishaona mtu anajiita nimeokoka mkatae maana hata yesu mwenyewe alipoambiwa yu mwema alikataa akasema alie mwema na mwenye haki ni mmoja tu naye ni Mungu
Kwanza huwa sielewi wameokoka kwa kipi ikiwa bado wapi kwenye mapambano
 
Kwanza huwa sielewi wameokoka kwa kipi ikiwa bado wapi kwenye mapambano
Hapo ndipo najiuliza na ubaya wanatii amri ya mchungaji wao au kiongozi wa kikundi chao cha maombo kuliko hata waume zao na Mungu aliejuu ya mamlaka zote.
 
Back
Top Bottom