Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Vipi amezingua nini?Hivi mwanamke unakua mjeuli unamjibu mumeo utakavyo.
Mwanaume ametoka kwenye mishe mishe kurudi nyumbani ni war zone nasio comfort zone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi amezingua nini?Hivi mwanamke unakua mjeuli unamjibu mumeo utakavyo.
Mwanaume ametoka kwenye mishe mishe kurudi nyumbani ni war zone nasio comfort zone
Mtoto kuharibika anaweza haribika hata baba ikiwepo. Watoto wa single mama waliofanikiwa ni wengi tu.Hata wa kwangu wanakua vizuri tu na watafanikiwa sana tu. Usiwe negative bwana.Hapo sikuungi mkono kwa vyovyote .
Wote wakifanya hivyo tunakuwa na dunia ya aina gani ?!. Watoto bila Baba nidhamu aibu tupu .
Wenye shule zao, kuwa single mother ni kawaida, maana wengi wao uangalia mapicha picha ya Western world kwamba hayo ndo Maisha lakini hawaangalii mapicha picha ya Eastern world kwamba hayo ndo maisha halisi.Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi,unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe.Ukitoka job unafuata watoto shule.Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni,dinner then kusali .Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Nakujaga kwenye mada kama hizi na ku-search jina lako kabisa ili nione umesemaje. Unanifurahishaga sana [emoji16][emoji16][emoji16]Natutaendelea kuwajibu tutakavyo na kuwa wajeuri wanaume wenyewe vilaza hamueleweki.[emoji23][emoji23]
Tupo mkuu. Nasi tunapambana na hali yetu. Mambo haya magumu sana yaani .Ni kuomba mwongozo wa Mungu na kuwekeza sana huko. Yote kwa yote Mungu ni mwema [emoji1545][emoji1545]Hivi Single fathers nao wapo? Hili suala liangaliwe kwenye katiba mpya kwa maslahi mapana yataifa
Umeachika lini bageshi? [emoji15][emoji15][emoji15]Mtoto kuharibika anaweza haribika hata baba ikiwepo. Watoto wa single mama waliofanikiwa ni wengi tu.Hata wa kwangu wanakua vizuri tu na watafanikiwa sana tu. Usiwe negative bwana.
Tatizo ubinafsi ndiyo unatufanya tuwe wapuuzi! Hivi unadhani hao watoto wana raha kuishi na mzazi mmoja? Thubutu, mtoto anapenda awe na mama, akigeuka kule amuone baba yupo pembeni. Tukiacha ubinafsi tukayapa kipaumbele matakwa ya hao viumbe ambao tuliwaleta hapa duniani kwa raha zetu, tutaona kuwa usingle mother au kuachana mume na mke wakati mna watoto ni ujuha. Nakazia kama unapenda kuishi bila mume, usizaeKuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Hakika Mzee Mwenzangu Mungu ni mwema siku zote na anatupenda sana waja wake kikubwa kutochoka kumuomba tu 🙏Tupo mkuu. Nasi tunapambana na hali yetu. Mambo haya magumu sana yaani .Ni kuomba mwongozo wa Mungu na kuwekeza sana huko. Yote kwa yote Mungu ni mwema
.![]()
Acha kudanganya wenzakoKuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Kuwa single mama ni raha tupu. Yaani huna mtu wa kukuuliza ulikuwa wapi, unakwenda wapi. Usiku unalala raha mstarehe. Ukitoka job unafuata watoto shule. Nyumbani na watoto mnapiga story za yaliyotokea kwenye masomo yao/shuleni, dinner then kusali. Unachati kidogo JF yaani hakuna wa kuuliza mbona una simu tu hebu njoo tulale. Single Mama ni raha sana kwa kweli.
Wenye shule zao, kuwa single mother ni kawaida, maana wengi wao uangalia mapicha picha ya Western world kwamba hayo ndo Maisha lakini hawaangalii mapicha picha ya Eastern world kwamba hayo ndo maisha halisi. Eastern world China, India, Pakistan, Japan, Korea divorce ni kidogo sana, pia shule uku kwetu mabonde kwinama ilikuja juzi juzi tu ndo maana mtu akiwa na degree uchwara mabega yanafika mawinguni wanawake kwa wanaume. Pia single mother wenye kipato kidogo ni Shida sana, wenye kipato kikubwa uchagua wanaume pia malezi ya watoto uzalisha mashoga, wavuta bangi , na single mother wengine.
Mwanaume kutafuta mbadala inatokana na udhaifu wa mwanamke aliyekua nae moja ya sababu ni hiyo aliyoiongea mtoa mada JEURIWanaume kutopenda majukumu ni moja ya sababu ya kuongezeka kwa single mothers
Kuna kifo cha mzazi wa kiume
Kuna uhuni wa mwanaume, ile kila sehemu mwanaume anapita na mwanamke anayemuona
Sababu ni nyingi
Unajikomoa mwenyewe, mwanamke ni kama Yai au kioo ukijifanya mjuaji utaumiaNatutaendelea kuwajibu tutakavyo na kuwa wajeuri wanaume wenyewe vilaza hamueleweki.[emoji23][emoji23]
Never. Hakuna cha kulipia wala nini.Hii koment iwe imetokea mdomoni Lakini kama ni Moyoni Kuna siku utailipia Kwa uchungu Mkubwa sana
Ukiwa na Yesu hakuna upweke.
Wewe yote maisha. Kwani kuwa single mama, Watoto ndo hawamwoni baba yao ?Wangu Wanamwona Baba yao. Tena.wakati wa likizo wanakwenda kwa Baba yao. Na Week-ends mbili kwa mwezi wako kwa Baba yao.Tatizo ubinafsi ndiyo unatufanya tuwe wapuuzi! Hivi unadhani hao watoto wana raha kuishi na mzazi mmoja? Thubutu, mtoto anapenda awe na mama, akigeuka kule amuone baba yupo pembeni. Tukiacha ubinafsi tukayapa kipaumbele matakwa ya hao viumbe ambao tuliwaleta hapa duniani kwa raha zetu, tutaona kuwa usingle mother au kuachana mume na mke wakati mna watoto ni ujuha. Nakazia kama unapenda kuishi bila mume, usizae
Sasa bila sisi kubeba mimba mtskuwaje wanaume. Sisi wanawake tunawafanya nyie kuna wanaume, bila sisi hakuna wanaumeNdio maana nyie ni k, mtazaaje bila men? Respect us.