Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Wewe uliolewa ukiwa na umri gani..?Ni kweli, Mwanamke jitahidi uolewe kabla hujafika 32(maximum age).
Baada ya hapo ni aibu kweli.
Aibu yakutokuolewa ni mbaya sana.
Nawaombea kwa Mungu wanawake wote muolewe on time.
Ebu tuanzie hapo kwanza....[emoji101]