NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikaze 😂Kuna manzi nilimwambia ntamuoa akaanza kuniringia na kunidharau, all in all nikakubali yaishe coz maisha ndo yalivyo
Kaa bee kwani fiiiipii.Wanaume,
Nakazia tena, Kamwe usioe Mwanamke aliyekuzidi umri.
Achana na Retired War veteran, Bed to bed midfielder. Wewe sio mlezi wa wapweke.
You deserve Better. Respect yourself.
NAKAZIAWanaume,
Nakazia tena, Kamwe usioe Mwanamke aliyekuzidi umri.
Achana na Retired War veteran, Bed to bed midfielder. Wewe sio mlezi wa wapweke.
You deserve Better. Respect yourself.
Huu ni ukweli kabisaMwanamke huyu hapa,(anaitwa Alvera) amesema anajuta sana kuwakataa wanaume wote waliotaka kumuoa akiwa kijana, sasa ana miaka 56, hawezi tena kuolewa na amekuwa mpweke sana....
View attachment 2596606
Amedai kwamba alikua akiogopa atabebeshwa mimba na kuachwa, lakini sasa amepata matatizo ya kiafya, na amekuwa mlemavu, anatamani angekua na familia ya kumfariji.....
View attachment 2596610
Kuna mwanaume mmoja aliyetaka kumuoa kipindi cha nyuma, Alvera amesema sasa yuko tayari amlipe pesa ili mradi tu akubali kumuoa
View attachment 2596611
Kwa kuwa sasa anapendezwa na wanaume, wanaendelea kumwambia kwamba wakati wake umepita na kwamba wanataka wanawake wachanga na wenye uwezo wa kuolewa.
Anaishi mwenyewe kabisa kwa sasa, na kampani aliyonayo ni redio yake ya analogi .....
Majuto ni mjukuu....
Mmh! maneno Mazito haya ngoja niyafanyie kaz Mapema kabla Umri haujaenda[emoji120][emoji120][emoji120]Mwanamke huyu hapa,(anaitwa Alvera) amesema anajuta sana kuwakataa wanaume wote waliotaka kumuoa akiwa kijana, sasa ana miaka 56, hawezi tena kuolewa na amekuwa mpweke sana....
View attachment 2596606
Amedai kwamba alikua akiogopa atabebeshwa mimba na kuachwa, lakini sasa amepata matatizo ya kiafya, na amekuwa mlemavu, anatamani angekua na familia ya kumfariji.....
View attachment 2596610
Kuna mwanaume mmoja aliyetaka kumuoa kipindi cha nyuma, Alvera amesema sasa yuko tayari amlipe pesa ili mradi tu akubali kumuoa
View attachment 2596611
Kwa kuwa sasa anapendezwa na wanaume, wanaendelea kumwambia kwamba wakati wake umepita na kwamba wanataka wanawake wachanga na wenye uwezo wa kuolewa.
Anaishi mwenyewe kabisa kwa sasa, na kampani aliyonayo ni redio yake ya analogi .....
Majuto ni mjukuu....
si bora uwe singo maza watoto watakufariji kuliko ukatae kuolewa ikiwa unaogopa upweke?? 😂Huu ni ukweli kabisa
nenda kamuombe msamaha yule jamaa 😂Mmh! maneno Mazito haya ngoja niyafanyie kaz Mapema kabla Umri haujaenda[emoji120][emoji120][emoji120]
Kwamba shangazi ana uongozi WAWATA?😀Ukimkuta kanisani, unahisi ni wife material 😅😅
Lazima apige ndulu, maana hajawahi pata utamu 😅😅😅Huyo unapiga mbuzi kagoma tu😎
Yule shangazi Shani alimdanganya umri Analyse. Baba yang anamwamkia shikamoo 😀Gily anatamani ila sio mzoefu Kama Wewe[emoji1]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tupe uzoefu wa mashangazi mkuu 😀Ila mkuu nisiwe muongo, mashangazi ni habari nyingine 😅😅
Simulizi yangu ijayo, nitawazungumzia sana mkuu 😅😅😅Tupe uzoefu wa mashangazi mkuu 😀
Naisubiria kwa hamu nipate mbinu za kuopoa mishangazi maana nasikia ikikupa inakupea yote 😋Simulizi yangu ijayo, nitawazungumzia sana mkuu 😅😅😅
NAKAZIA.Kuolewa na kuwa na Kesho nzuri ni vitu viwili tofauti .
Binafsi Mwanamke kumcrush Mwanaume anayehitaji kumuoa hii usababishwa wa Africa kuwa na Akili ndogo kichwani Katika kudadavua Mambo ya Kesho.
That way maamuzi Mengi ya wanawake hayana Maana na Mwanamke umri ukienda ndo akili zinapungua .
That way kijana anayetaka kuoa it better kuoa Mwanamke ambaye hazidi miaka 20 hii ni Rahisi na anaweza mpandikiza falsafa zake vizuri. Na Waka match their goals.