Mwanamke elewa kuwa asili ya mwanaume ni udume ambao anahitaji atawale dunia kwa kila kitu. Wanyama na ndege pia viumbe vya kiume hutawala species zao.
Kwa hiyo basi fanya ufanyalo mwanaume lazima achepuke, hata umlambe makunyanga yake lazima achepuke, hii siyo tabia ni nature ya viumbe vya kiume. Kuna mdada alimuacha mume wake akimtuhumu kuwa anachepuka, baada ya miaka miwili akaolewa na mwanaume mwingine ambaye sasa alikuwa anachepuka mpaka anahama mji.
Akaachika na kuolewa kwa mwanaume mwingine ambaye kila mwezi lazima amlete barmaid nyumbani na kumuamrisha mke wake awapikie. Baada ya kupitia mitanange miwili amerudi kwa mume wa kwanza anamsihi warudiane lakini jamaa anakataa na harusi inakaribia.
Mwanamke baada ya kuona jamaa hamuelewi anaanza kumtishia kumroga na binti bibi harus mtarajiwa. Enyi wanawake tulieni kwenye ndoa zenu, kuchepuka ni nature ya wanaume.
Kwa hiyo basi fanya ufanyalo mwanaume lazima achepuke, hata umlambe makunyanga yake lazima achepuke, hii siyo tabia ni nature ya viumbe vya kiume. Kuna mdada alimuacha mume wake akimtuhumu kuwa anachepuka, baada ya miaka miwili akaolewa na mwanaume mwingine ambaye sasa alikuwa anachepuka mpaka anahama mji.
Akaachika na kuolewa kwa mwanaume mwingine ambaye kila mwezi lazima amlete barmaid nyumbani na kumuamrisha mke wake awapikie. Baada ya kupitia mitanange miwili amerudi kwa mume wa kwanza anamsihi warudiane lakini jamaa anakataa na harusi inakaribia.
Mwanamke baada ya kuona jamaa hamuelewi anaanza kumtishia kumroga na binti bibi harus mtarajiwa. Enyi wanawake tulieni kwenye ndoa zenu, kuchepuka ni nature ya wanaume.