Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Chambo imegeuka mtego kwa samaki..๐๐๐Kuna samaki inaenda kunasa kwenye ndoano..๐
Anyway....mtakie kila laheri huyu kijana ila awe makini na maamuzi yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chambo imegeuka mtego kwa samaki..๐๐๐Kuna samaki inaenda kunasa kwenye ndoano..๐
Ndimu na pilipili vinatosha shemela....Usisahau kuandaa na viungo shemela..!! Wengine 'chukuchuku' hatuwezi
Itakuwa la nne BAliishia la nne ama?
Huwa sisomi mimi..Haya matumizi ya x badala ya s sijawahi kuyaelewa kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Usikute ni mwanafunzi huyo, Umri wake kwanza,unaweza kuta amefokewa na mama yake huko anataka aje kwako.
Kama hawezi tofautisha X na S
Wewe na yeye bado hamjielewi...kifupi nyie bado watoto...msg za watu kutaka waamie kwangu ziko nyingi sana na hakuna nilietaka aje.. mapenzi hayo ni mapya ataondoka kwao atakuja ataishi hapo miezi kadhaa ataanza pigwa p*mbu utakuja andika uzi mwngne hapa ...nishawahi pata mtu ambae pia nikimpa hela hataki hasikilizi bongo flavour ni radio ya dini na vipindi vya dini kwa tv niliona kama nimepata malaika ila yuko wapi sa hiviYuko radhi kufa kwa ajili yangu
Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.
Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptoms๐ ๐ ๐๐ nikakwepa
Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu.
SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
View attachment 2271569
Ndio maana mwandiko wa hovyoItakuwa la nne B
Ni kweli anataka hifadhi ya haraka iwezekanavyo[emoji23]Huyo mwanamke hata sio nyege, anataka hifadhi [emoji23][emoji23]
Na usikute ni la nne B wale wa kupitia madirishani na utoro wa maishaNdio maana mwandiko wa hovyo
EMbu pendekeza TITLE ya kitabu hichoHuyu dada picha yake itumike kwenye cover la kitabu cha waongo
Absolutely huyo hataki kazi za nyumbani katafuta mwenzake waoaneUsikute ni mwanafunzi huyo, Umri wake kwanza,unaweza kuta amefokewa na mama yake huko anataka aje kwako.
Kama hawezi tofautisha X na S
na usikute hata ana mimba anataka awahi geto amkabidhi jamaa mimba ๐๐Ni kweli anataka hifadhi ya haraka iwezekanavyo[emoji23]
Fafanua kidogo mkuuKumbuka wadada wanaweza kunusa mafanikio yako miaka 3 ijayo.
EMbu pendekeza TITLE ya kitabu hicho