Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

Yuko radhi kufa kwa ajili yangu

Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.

Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptoms😅😅😂😂 nikakwepa

Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu.

SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
View attachment 2271569
Dah.....Dogo mbona unataka kupigwa kifala? Acha ujinga
 
Kwanza ana umri gani tuanzie hapo ?

Mimi nikishaona mtu anaandika Xaxa badala ya sasa , bx au baxi badala ya basi it's a turn off ! yaani hapo inakua nishampima akili yake na kuona ikoje hawa khoi khoi generation ni bure kabisa .
 
Yuko radhi kufa kwa ajili yangu

Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.

Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptoms😅😅😂😂 nikakwepa

Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu.

SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
View attachment 2271569
Hahaha wewe ni mtoto wa kiume mlaini sana, umewezwa na manwno laini ya katoto ka form 4.
Xxxxx
Kichwani hajakomaa huyo.
We beba zigo lako mkuu seems mnaendana sana na uta handle haka kamzigo.
 
Hahaha wewe ni mtoto wa kiume mlaini sana, umewezwa na manwno laini ya katoto ka form 4.
Xxxxx
Kichwani hajakomaa huyo.
We beba zigo lako mkuu seems mnaendana sana na uta handle haka kamzigo.

Hahaha wewe ni mtoto wa kiume mlaini sana, umewezwa na manwno laini ya katoto ka form 4.
Xxxxx
Kichwani hajakomaa huyo.
We beba zigo lako mkuu seems mnaendana sana na uta handle haka kamzigo.
sina namna ya ku control uandishi wake mkuu ila nafurahi kuona nina mwanamke mwepesi kusema samahani..😅😅😅
Screenshot_20220625-150243.png

ashakataa kabisa nisimuite jina lake

ashawaambia wazazi wake kwamba namuoa na sina mahari😂😂😂
 
sina namna ya ku control uandishi wake mkuu ila nafurahi kuona nina mwanamke mwepesi kusema samahani..😅😅😅
View attachment 2271617
ashakataa kabisa nisimuite jina lake

ashawaambia wazazi wake kwamba namuoa na sina mahari😂😂😂
Mkuu chukua hicho kifaa kama roho imeridhia.
Somehow ni kajanja, unajua mwanamke mjanja hunogesha penzi.
Labda mengine utamfundisha taratibu.

Aachane utoto wa fb wa xxxx
 
Mkuu chukua hicho kifaa kama roho imeridhia.
Somehow ni kajanja, unajua mwanamke mjanja hunogesha penzi.
Labda mengine utamfundisha taratibu.

Aachane utoto wa fb wa xxxx
Mkuu nimetest kumgombeza sana muda huu nimezua tu ugomvi usio na muelekeo.

this is the answer... na anatumia simu ya mama yake
Screenshot_20220625-150804.png
 
Mkuu nimetest kumgombeza sana muda huu nimezua tu ugomvi usio na muelekeo.

this is the answer... na anatumia simu ya mama yake
View attachment 2271624
Haha sitarudia.
Sijui nini ilinipitiaga katika mazingira flani
Nikajikuta nimempatia namba mtoto flan mwenye mwandiko kama huo, ilikuwa kila akinitext najisikia aibu kuwa ilikuwaje hata akawa na namba zangu?.
Unajua nini?
Nilikuwa simjibu akipiga sipokei nikitaka akate tamaa wapi.
Nitaandikiwa gazeti.
Nikijaribu kumwambia wewe ni mdogo tafuta dogo mwenzio aah wapi.

Wanajua kung'ang'ania hao mbona utakoma?😂😂😂
 
Back
Top Bottom