Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Akapambane nayeNa usikute ni la nne B wale wa kupitia madirishani na utoro wa maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akapambane nayeNa usikute ni la nne B wale wa kupitia madirishani na utoro wa maisha
Dah.....Dogo mbona unataka kupigwa kifala? Acha ujingaYuko radhi kufa kwa ajili yangu
Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.
Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptoms😅😅😂😂 nikakwepa
Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu.
SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
View attachment 2271569
Hivi baharia akiwa wa kike ndo anaitwa Maharia???Hii sasa ndio JAZA UJAZWE, yani ni tukujaze tena....
😁😁😁 mkuu umefanikiwa kujazwa
ila wanawake 😝😝😝
Hahaha wewe ni mtoto wa kiume mlaini sana, umewezwa na manwno laini ya katoto ka form 4.Yuko radhi kufa kwa ajili yangu
Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.
Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptoms😅😅😂😂 nikakwepa
Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu.
SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
View attachment 2271569
Hahaha wewe ni mtoto wa kiume mlaini sana, umewezwa na manwno laini ya katoto ka form 4.
Xxxxx
Kichwani hajakomaa huyo.
We beba zigo lako mkuu seems mnaendana sana na uta handle haka kamzigo.
sina namna ya ku control uandishi wake mkuu ila nafurahi kuona nina mwanamke mwepesi kusema samahani..😅😅😅Hahaha wewe ni mtoto wa kiume mlaini sana, umewezwa na manwno laini ya katoto ka form 4.
Xxxxx
Kichwani hajakomaa huyo.
We beba zigo lako mkuu seems mnaendana sana na uta handle haka kamzigo.
Mkuu chukua hicho kifaa kama roho imeridhia.sina namna ya ku control uandishi wake mkuu ila nafurahi kuona nina mwanamke mwepesi kusema samahani..😅😅😅
View attachment 2271617
ashakataa kabisa nisimuite jina lake
ashawaambia wazazi wake kwamba namuoa na sina mahari😂😂😂
Mkuu nimetest kumgombeza sana muda huu nimezua tu ugomvi usio na muelekeo.Mkuu chukua hicho kifaa kama roho imeridhia.
Somehow ni kajanja, unajua mwanamke mjanja hunogesha penzi.
Labda mengine utamfundisha taratibu.
Aachane utoto wa fb wa xxxx
Haha sitarudia.Mkuu nimetest kumgombeza sana muda huu nimezua tu ugomvi usio na muelekeo.
this is the answer... na anatumia simu ya mama yake
View attachment 2271624