Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

Yuko radhi kufa kwa ajili yangu

Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.

Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptoms[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23] nikakwepa

Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu.

SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
View attachment 2271569
Huyo mwanamke lazima awe wa ajabu, kwa huo mtindo wa hizo "xxx" zake sure thing ni certified kichwa panzi... ingia mkenge sasa.. unless wewe nawe ni certified ..... ... yani mtu makini aanze kuhofia kukubaliwa na ndugu wa mume!

Vipi, ana tattoo ngapi kwanza?
 
Kamwe siwezi kuna na Mwanamke yeyote kwenye mahusiano anayeandika xaxa baxi hata nyege zinapotea automatic
 
Umri wenu tafahdali

Ila mtu anaendika "xa" kuwa nae makini

Usije lialia hapa ushauri hatuta toa mkuu
 
xaxa xi umwambie kuwa unampenda ili aje gheto umchakate mbuxuxu, xaxa xixi tuwaxaidieje watoto wa form xliii xi

mpigie ximu xaxa hivi mwambie unampenda xana tena uko tayari kufa kwa xababu unaxita kutoa mahari, xina budi kuwapongeza

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnunulie smart phone, halafu m download-ie jf, aje afunzwe kusoma na kuandika na wakina cocastic ,to yeye ,Depal na mzabzab mzee wa totoz za form B na marinda ya wake za watu
[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Mkuu Get Rich mimi niko nje ya maada Nina swali. Vipi umeshasuza Rungu kweli , mbona Mimi naona ni kama Long distance Relationship , mapenzi ya kuchati yanakua(ga) hivyo hivyo matamu vibaya mno.
 
Naungana na wadau hakuna mke hapo ni genye hizo dem anatumia X badala ya S hawezi kuwa mke kama huamini owa we piga sepa
 
Kusema kweli mtu anayesema hata mambo yakienda kombo basi atashiba mapenzi, huyo bado hajakomaa kuweza kuhimili mikiki mikiki ya ndoa.

Ushauri wangu, achana nae usimharibie future yake ili nae asiharibu future yako.
 
Huyu atakuwa ameng'olewa gimbi maana kama anatuma SMS za hivo jua unagusa G spot yake kibabe Sana........na sio kinyonge.........inchi 7' za Uhuru zimesikika kwenye kizazi chake
 
Back
Top Bottom