Mwanamke wa Kitanga akikutaka anakupata tu

Sasa mkuu wamasai wanajua nini zaidi ya kufuga ng'ombe ? Lengo langu sio ku-crush point yako ila wamasai mkuu uko mbali sana.
[emoji23][emoji23][emoji23] bro ingekuwa kuna kuonjeshana ningekwambia kaonje pale.

Flavour na watoto wa kitanga kawaida tu. Labda kama ni zamani maana nowdays damu mchanganyiko sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mgeni utahadaika ila si sisi mwenyeji, hufanya hivyo akiwa anatafuta namna ya kukunasa. Ila akishakunasa yote huyasahau
Nashkuru sana kwa kuniambia. Sasa nagundua napaswa kumtoa moyoni huyu taratibu nisije nikaja kujuta.
 
Wa kawaida sana,vyote wanavyofanya hata madam wengine wanafanya
Nipo Unyamwezini hapa wiki ya 3 sasa napewa maaba na shombe LA kinyamwezi sijona tofauti kati manz wangu wa kitanga(Buyuni) na huyu mwarabu wa Isevya-Tabora

5/5
Hao wanyamwezi siwapendi. Niliwai kuwa nae mmoja. Wahuni sana halafu wavivu sana kufanya kazi katika maisha.
 
Yaani we ulichofanya ni kuwala kwa tamaa zao
NILIKUWA NAJIPOSITION KULINGANA NA MAZINGIRA..IT MEANS HAO NIKUWALA NA KUKAA PEMBENI..ILA KAMA UMEMPENDA FROM UR MOYO TAFUTA HELA NA NENDA NAYE HADI PALE MMOJA WENU ATAKAPOAMUA KUKAA PEMBENI
 
Hizi ni mbinu za kijasusi kabisa yani 🤣🤣🤣 ni baharia pekee ambaye anaweza kumaliza mchezo kitaalamu sana.
 
Kumbe we unaongelea ladha ya K. Mi nikajua unaongelea miuno feni na michezo ya watoto wa kitanga.
Viuno feni ni stori na kuzidisha chumvi tu.

Siamini kama utamu wa penzi ni "uno feni" au kupeana topeni, au balls kutengewa ki-sauce n.k

Ndio maana huyu anamsifia, yule anamponda n.k.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NILIKUWA NAJIPOSITION KULINGANA NA MAZINGIRA..IT MEANS HAO NIKUWALA NA KUKAA PEMBENI..ILA KAMA UMEMPENDA FROM UR MOYO TAFUTA HELA NA NENDA NAYE HADI PALE MMOJA WENU ATAKAPOAMUA KUKAA PEMBENI

Nimempenda ila wadau wananambia naigiziwa tu
 
Hizi ni mbinu za kijasusi kabisa yani 🤣🤣🤣 ni baharia pekee ambaye anaweza kumaliza mchezo kitaalamu sana.
Extrovert ...Mkuu Hawa sometime Bora uwapige kwa SOUND Kama za dude TU mkuu.Nataka sasa Yule anayeomba hela halafu sio manz yangu NIMLE ILA NATAKA NIMLE KIMASIHARA..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…