Akili 09 Nguvu 01
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 695
- 1,377
- Thread starter
- #41
Ahsante sana. Nitakupa Mlishonyuma au feedback/mrejeshoNakuombea upate mchepuko mzuri anayejitambua. Ambaye ataheshimu pia ndoa yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana. Nitakupa Mlishonyuma au feedback/mrejeshoNakuombea upate mchepuko mzuri anayejitambua. Ambaye ataheshimu pia ndoa yako
Karibu Inbox/chemba kwa mazungumzo zaidi. AhsantePesa unazo??? Nipo nanyamba huku
Samahani, napata shida kidogo kuja Inbox yako. Nina jambo nataka nikuulize kuhusu hapo Nanyamba. Kama hutojali naomba uje inboxNimekuja hapa, nimempa na location pia
Samahani, napata shida kidogo kuja Inbox yako. Nina jambo nataka nikuulize kuhusu hapo Nanyamba. Kama hutojali naomba uje inbox
Je pesa ndio kigezo chako pekee?
Thanks for coming, kwa location yako nafikiri hatitashindwana labda tishindwane kwa Vigezo vingine
Ahahaha it is too early kukiri tumeshindwana. Lets go baby hatutashindwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivyo vingine naona tumeshashindwana
Ahahaha it is too early kukiri tumeshindwana. Lets go baby hatutashindwana
Nasubiria kwa hamuAhsante sana. Nitakupa Mlishonyuma au feedback/mrejesho
Hahahaaa hacheleweshiiWeee tayari nimeshakuwa bby woooi
Bwana weee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yuko motoHahahaaa hacheleweshii
Ana mzuka wa kupata mchepuko wa fasta fastaBwana weee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yuko moto
Ana mzuka wa kupata mchepuko wa fasta fasta
Atafute pole pole tu atampataApitie pitie nyuzi mbalimbali humu Kuna balaa ohooo
Nakusubiri apa chini ya mkorosho(inbox). AhahahahahaBwana weee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yuko moto
Ujipata mwingine mzuri mzuri nipasie na mieNakusubiri apa chini ya mkorosho(inbox). Ahahahahaha
Ayaaaaa ngoja niwah inbox hapa namba yangu wataihackEbu lete namba yako ya tigopesa nifanye muamala chaap chaap
Ipo ooh!Muulize kama anayo chura kwanza.
Katanguliza mwenyewe..hlf kosa gan sasa hapo wakat hata maandiko yanasema mwanaume utakula kwa jasho eboo!Kiukweli, hili ni kosa namba moja ambalo wadada wengi sana wanalifanya pasipo kujua madhara yake.