Doctizo Mtengwa
JF-Expert Member
- Feb 16, 2019
- 828
- 1,513
Hahaa karibu sana
Mimi huyoo ๐๐๐ถ๐ปโโ๏ธ...Hadi Pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa karibu sana
We si umesema hadi uchaguzi upite, PM uje after 28 OctMimi huyoo ๐๐๐ถ๐ปโโ๏ธ...Hadi Pm
Natamani kweli nije ila ndo hivyo nimewahiwa mieBado hajapatikana, njoo tu nafasi bado ipo
We si umesema hadi uchaguzi upite, PM uje after 28 Oct
Asee, ulifikia stage mbaya SanaWenzako michepuko imetuelemea mpaka tunaikimbia job,kuna mchepuko mtaani kuna mchepuko nyumba ya tatu jirani yangu, tigo pesanae mchepuko,dada wa sheri muweka mafutanae mchepuko,bank taller nae mchepuko we michepuko tunaikimbia mana inatutia umasikini nimeona bora nitulie tuu na mke wangu kipenzi mama 7 wangu kipenzi bro michepuko sio dili wewe mkeo ishi nae kikoloni mtakaa sawa tuu ila mchepuko sikushauri tulia na mkeo mm uwo ushenzi nimeufanya ila umenitia hasara tuu...mans mkipanga ku date c chini ya 50k au 100k mm ilifika mda nilipangaga chumba mbali ns nyumbani kwangu wife akujua iko chumba kilikuwa special kwa michepuko tuu mana niliona garama imekubwa juu niliweka kila kitu ndani iko chumba kitanda kizuri makoch tv ukutani sabufa nn gesi yani kila kitu niliweka ila badae nilikuja ona ni upuuzi kile chumba nimempa mtoto wa dada angu yuko chuo anasoma alikosa hostel anaishi yeye pale michepuko aina ishu mkuu tulia na mkeo muyajenge maisha wanawake ni wale wale tuu...ila akili kumkichwa kama utaki tafuta mchepuko utakuja simulia hapa...
Dah aisee, fursa imenipita hivi hivi
Fursa nyingine ni mimi....[emoji39][emoji39]Dah aisee, fursa imenipita hivi hivi
Sijakidhi vigezoWala ujapitwa na chochote madam ,
Fursa zipo pale pale ...
Ha haaa we hufaiFursa nyingine ni mimi....[emoji39][emoji39]
Dahhhh.....[emoji26]Ha haaa we hufai
Teh subiri utapata mkuuDahhhh.....[emoji26]
Amakweli sina bahati...,[emoji25]
Yaani kweli nimekosa hata wakuniokota humu jamvini...[emoji31]
Usihofu, fursa bado haijakupita, wahi sasa nafasi ni chacheDah aisee, fursa imenipita hivi hivi
Karibu tufurahi wote mrembo, pm bado ipo wazi๐ ๐ ๐
Sijakidhi vigezo
nikupe dada yangu?Jamani nyie wanawake kwani hamtaki kuwa Mchepuko? Kwa namna hii nitaletaje mrejesho hapa? Ebu kujeni pm jamaani
Niweke apoapo Bwashemejj! Lakin je Sura na Chura vimo?nikupe dada yangu?
Niweke apoapo Bwashemejj! Lakin je Sura na Chura vimo?
[/QUOT
Vyote vipo sema tatizo Ni pm 2