Akili 09 Nguvu 01
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 695
- 1,377
- Thread starter
- #101
Sasa Bwashemeji mwambie dada yako aje pm fasta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
. Bwashemeji sister hajui pm ndo shida hiloSasa Bwashemeji mwambie dada yako aje pm fasta
Bwashemeji naona sista wako bado yupo analogi sijui kama tutawezana. Ngoja nicheki nae kwa namba ya simu.. Bwashemeji sister hajui pm ndo shida hilo
. 😃😃😃 Hayuko analogi ila hajajiuga na jiefu mkuuBwashemeji naona sista wako bado yupo analogi sijui kama tutawezana. Ngoja nicheki nae kwa namba ya simu.
Mkuu nimependa tangazo lako ngoja nikali-customize likidhi mahitaji yangu!Ahsante kwa Kuja. Thanks for coming
Ngoja tuelezane Vigezo na Masharti kama tutawezana itapendeza
Hebu nibandikie digits zake zile 10 pale pm kwang ili nichek nae. 😃😃😃 Hayuko analogi ila hajajiuga na jiefu mkuu
Sawa mcheck
Kajiongeza mapema ili afahamu kama utakua baby wa kudumuWeee tayari nimeshakuwa bby woooi
Aaaah bas kesho nasafiri nakuja apo tuonaneNipo hapa Ndanda mission nakusubiri Baby ☻☻
unatokea wapiAaaah bas kesho nasafiri nakuja apo tuonane
Popote ulipo nipo. Kesho mapema sana nitakuwepo apo kuja kuonana na wewunatokea wapi
Mkuu Ushimen na wewe unahitaji spare tyre?Mkuu, mimi binafsi maomba nikupongeze sana kwa ujasiri na uwazi wako.
Ukweli ni kwamba, wanaume wengi tumekua na hitaji hili ingawa huwa tunajifanya wema sana hapa jf, ilhali tupo kwenye uhitaji wa spare tyre..
Ila huu mwandiko mkuu, waweza kuta wewe ni afisa elimu sehemu fulaniWenzako michepuko imetuelemea mpaka tunaikimbia job,kuna mchepuko mtaani kuna mchepuko nyumba ya tatu jirani yangu, tigo pesanae mchepuko,dada wa sheri muweka mafutanae mchepuko,bank taller nae mchepuko we michepuko tunaikimbia mana inatutia umasikini nimeona bora nitulie tuu na mke wangu kipenzi mama 7 wangu kipenzi bro michepuko sio dili wewe mkeo ishi nae kikoloni mtakaa sawa tuu ila mchepuko sikushauri tulia na mkeo mm uwo ushenzi nimeufanya ila umenitia hasara tuu...mans mkipanga ku date c chini ya 50k au 100k mm ilifika mda nilipangaga chumba mbali ns nyumbani kwangu wife akujua iko chumba kilikuwa special kwa michepuko tuu mana niliona garama imekubwa juu niliweka kila kitu ndani iko chumba kitanda kizuri makoch tv ukutani sabufa nn gesi yani kila kitu niliweka ila badae nilikuja ona ni upuuzi kile chumba nimempa mtoto wa dada angu yuko chuo anasoma alikosa hostel anaishi yeye pale michepuko aina ishu mkuu tulia na mkeo muyajenge maisha wanawake ni wale wale tuu...ila akili kumkichwa kama utaki tafuta mchepuko utakuja simulia hapa...
Mkuu wew una miaka mingapi mpaka mchepuko uwe na miaka 40 [emoji848][emoji848][emoji848]?VIGEZO na MASHARTI yamekua Magumu?
Naomba nifanye Ammendments kidogo
Nahitaji na natafuta Mwanamke wa kua MCHEPUKO RASMI NA WA KUDUMU
* Awe na umri wa Miaka 20 - 40
*Awe mzuri wa Sura na umbo(mrembo) na awe mzuri wa tabia(Kigezo kikubwa)
NB; Nitamuhudumia kwa kilakitu katika mahitaji ya msingi(Basic needs)
Mkuu mbona Bango langu limeeleza kila kitu hadi Miaka yangu. Nahitaji mwanamke awe na Miaka kati ya 20- 40. Mwanamke wa miaka 40 ni Size yangu kabisa hata usishitukeMkuu wew una miaka mingapi mpaka mchepuko uwe na miaka 40 [emoji848][emoji848][emoji848]?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mwambie azame/aje pm ntambandikia Namba yangu, nikibandika namba yangu hapa nitapata Usumbufu sanaMkuu weka namba Kuna mmoja hapa anakuonea gere