Mwanamke wa kuwa Mchepuko rasmi anahitajika

Mwanamke wa kuwa Mchepuko rasmi anahitajika

.Sasa wewe c unataka mwanamke bandika hapa 2
Never ever mkuu wang, keep ur mwanamke i will keep my number. Its better nikose Mchepuko kuliko kubandika namba yangu hapa
Pm ipo kwa ajili ya privacy kama hizi. Mwambie aje pm ntambandikia namba
 
Wenzako michepuko imetuelemea mpaka tunaikimbia job,kuna mchepuko mtaani kuna mchepuko nyumba ya tatu jirani yangu, tigo pesanae mchepuko,dada wa sheri muweka mafutanae mchepuko,bank taller nae mchepuko we michepuko tunaikimbia mana inatutia umasikini nimeona bora nitulie tuu na mke wangu kipenzi mama 7 wangu kipenzi bro michepuko sio dili wewe mkeo ishi nae kikoloni mtakaa sawa tuu ila mchepuko sikushauri tulia na mkeo mm uwo ushenzi nimeufanya ila umenitia hasara tuu...mans mkipanga ku date c chini ya 50k au 100k mm ilifika mda nilipangaga chumba mbali ns nyumbani kwangu wife akujua iko chumba kilikuwa special kwa michepuko tuu mana niliona garama imekubwa juu niliweka kila kitu ndani iko chumba kitanda kizuri makoch tv ukutani sabufa nn gesi yani kila kitu niliweka ila badae nilikuja ona ni upuuzi kile chumba nimempa mtoto wa dada angu yuko chuo anasoma alikosa hostel anaishi yeye pale michepuko aina ishu mkuu tulia na mkeo muyajenge maisha wanawake ni wale wale tuu...ila akili kumkichwa kama utaki tafuta mchepuko utakuja simulia hapa...
Hongera mkuu kwa kuweza kuachana na michepuko, mi nimeshindwa kuachana nayo kabisa yaani nimejitadi nimebaki na mmoja japo wwngine wanaendelea kusumbua ila michepuko yangu haijui kubana aisee imeniachia watoto kama wote yaani nimajanga.
Yaani nikiwaza gharama nilizotumia kwao ningekua milionea sasa hivi, kuna lodge moja nilikua naipenda kweli mwaka wa tano sijawahi kuihama, meneja wa pale ilifika mahali akanifanyia 15k badala ya 25k kwa ujinga wangu nafurahia wakati kwa kuona urahisi ule ndio ruti zikazidi,
Huyu ndugu yetu anaetafuta mwache tu awe nae mmoja lkn mwenye kujielewa,

Mwanamme kua na mke mmoja pekee kwa muda mrefu akili inadumaa
 
Mnomno kila mtu anaishi anajua anachokifanya......... Sio mbuzi ingine inakwambia "sina mke ntakuoa" siku zinaenda chenga haziishi
Nilipooa nilikua natongoza kimasihara tu nawaambia nna familia na mchepuko juu lkn haikua kigezo cha kukataliwa, wanawake akili zenu mnazijua wenyewe....
 
Mimi ni mwanaume wa umri wa ‘mid 30's’, nimeoa na naishi na mke wangu. Kutokana na changamoto za ndoa nimelazimika kutafuta Msaidizi wa mapenzi kwa mke wangu.

Hivyo basi nahitaji Mwanamke wa kuwa Mchepuko wangu rasmi na wa kudumu.

*Awe na miaka kuanzia 20 -40.
*Awe na uwezo wa kujitegemea. (sio kigezo kikuu)
*Awe mzuri wa sura na Umbo (mrembo)(kigezo kikuu)
*Akiwa mikoa ya Lindi na Mtwara itapendeza.

NB: Nitamuhudumia kwa kila kitu kwenye mahitaji ya Msingi(basic needs)

Karibuni PM ipo wazi
Tabia zilizojificha: Chanzo cha migogoro kwenye mahusiano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie wanawake/wasichana wa jf mnanichelewesha kuleta mrejesho wangu kuhusu huu Uzi
Tafadhali fanyeni hima kuja pm kabla Rais mpya mtenda Haki hajachaguliwa/ hajatangazwa mnamo trh 28-10-2020.
Nawasubiri pm, wa mwanzomwanzo kuja watapewa kipaumbele
 
Hakika nyie wanawake wa JF mmekua Wakatili sana, naona wengi tu mnaishia kusoma tu huu Uzi, wachache wanacoment ila hamna anayekuja PM. WHY
Ndugu zangu Ushimen na Allency wananisubiri ili niwape Pasi, sasa hamji Pm nyie wadada mi nitatoa mrejesho gani?
Fanyeni mje Pm ili atapotangazwa Rais kipenzi cha Watanzania ndo siku hiyo nitakuja kuleta mrejesho. Njooni Pm ili nilete mrejesho wa maana
 
Mchepuko awe anajitegemea? Unaumwa wewe.hapo kwako anafaidi nini ambacho wanaume wengine hawana? Yaan wewe kazi yako kumpelekea ka gegedo kako tu?. Huyu akipata ntajuwa wanawake kuna shida si kidogo.
 
Hakika nyie wanawake wa JF mmekua Wakatili sana, naona wengi tu mnaishia kusoma tu huu Uzi, wachache wanacoment ila hamna anayekuja PM. WHY
Ndugu zangu Ushimen na Allency wananisubiri ili niwape Pasi, sasa hamji Pm nyie wadada mi nitatoa mrejesho gani?
Fanyeni mje Pm ili atapotangazwa Rais kipenzi cha Watanzania ndo siku hiyo nitakuja kuleta mrejesho. Njooni Pm ili nilete mrejesho wa maana
Rais mpya ameshatangazwa na ameshaapishwa adi Gwaji boy kaingia mjengoni lakini mimi bado sijaleta Mrejesho hapa. Sio Kosa langu ni kosa la wadada wa jf, mnaishia kuview tu hata pm hamji
Ushimen na Allency nitawapa pasi ipi ikiwa hamji pm
Kesho trh 11/11 saa 11:11 jioni panapo majaaliwa nitakuja kuleta mrejesho wa huu Uzi wangu. Wadada wa jf mna roho mbaya sn. Kua Mchepuko ndo mnaona ishuu kubwaaaaaa
 
Mchepuko awe anajitegemea? Unaumwa wewe.hapo kwako anafaidi nini ambacho wanaume wengine hawana? Yaan wewe kazi yako kumpelekea ka gegedo kako tu?. Huyu akipata ntajuwa wanawake kuna shida si kidogo.
Yes. Mchepuko awe anajitegemea I mean awe na maisha yake tu then mim ntakuja kumboost kimaisha na kumpa gegedo la maana. I can say nmepata, so may be wewe ndo unashida kidgo
Njoo pm tuyajenge nione nakusaidiaje
 
Yes. Mchepuko awe anajitegemea I mean awe na maisha yake tu then mim ntakuja kumboost kimaisha na kumpa gegedo la maana. I can say nmepata, so may be wewe ndo unashida kidgo
Njoo pm tuyajenge nione nakusaidiaje
Ishiiiiii bure
 
Yes. Mchepuko awe anajitegemea I mean awe na maisha yake tu then mim ntakuja kumboost kimaisha na kumpa gegedo la maana. I can say nmepata, so may be wewe ndo unashida kidgo
Njoo pm tuyajenge nione nakusaidiaje
Atajuja kukujibu kwamba "shindwa..."😂
 
Back
Top Bottom