Mwanamke wa kuwa Mchepuko rasmi anahitajika

Mwanamke wa kuwa Mchepuko rasmi anahitajika

Rais mpya ameshatangazwa na ameshaapishwa adi Gwaji boy kaingia mjengoni lakini mimi bado sijaleta Mrejesho hapa. Sio Kosa langu ni kosa la wadada wa jf, mnaishia kuview tu hata pm hamji
Ushimen na Allency nitawapa pasi ipi ikiwa hamji pm
Kesho trh 11/11 saa 11:11 jioni panapo majaaliwa nitakuja kuleta mrejesho wa huu Uzi wangu. Wadada wa jf mna roho mbaya sn. Kua Mchepuko ndo mnaona ishuu kubwaaaaaa
Mkuu, minadhani tatizolako ni chama
 
Tangazo liendelee kuwepo kwa maana bado halijapata majibu ya kunifanya nilete Mrejesho. Wanawake wa jf karibuni, Pm ipo wazi kwa ajili yako
 
Tangazo liendelee kuwepo kwa maana bado halijapata majibu ya kunifanya nilete Mrejesho. Wanawake wa jf karibuni, Pm ipo wazi kwa ajili yako
Mkuu Kua serious, unataka mchepuko au una agenda nyengine nyuma ya hilo? Yani tangu 2020 Hadi leo hujapata? Unaishi msituni?
 
Kweli wake hatuna sikuhizi 🤣 nikiwaza jinsi mzee baba anavyojiamini kuwa mke wake hamsaliti hata kidogo nasema hiiiii!
Kiufupi sema hakuna ndoa siku hizi. Mwenzio anayetafuta mchepuko ameoa na mke wake anajiamini kuwa mume wake hachepuki.
 
Kiufupi sema hakuna ndoa siku hizi. Mwenzio anayetafuta mchepuko ameoa na mke wake anajiamini kuwa mume wake hachepuki.
Kweli kabisa ndio imekuwa sawa na maigizo ya kuishi nyumba moja tu kama Big Brother ila ushenzi unaofanyika pembeni ni balaa😀 yani jamaa alikodi na ghetto kwa ajili ya kufanyia ufuska tu ni soo!
 
Mkuu Kua serious, unataka mchepuko au una agenda nyengine nyuma ya hilo? Yani tangu 2020 Hadi leo hujapata? Unaishi msituni?
Nipo siriaz na sina ajenda nyingine zaidi ya kutafuta Mchepuko. Tangu mwaka 2020 Hadi leo 2021 sijapata na ninaishi hapahapa mjini sio porini
Njoo wewe ili tulimalize tatizo hili
 
Mimi ni mwanaume wa umri wa ‘mid 30's’, nimeoa na naishi na mke wangu. Kutokana na changamoto za ndoa nimelazimika kutafuta Msaidizi wa mapenzi kwa mke wangu.

Hivyo basi nahitaji Mwanamke wa kuwa Mchepuko wangu rasmi na wa kudumu.

*Awe na miaka kuanzia 20 -40.
*Awe na uwezo wa kujitegemea. (sio kigezo kikuu)
*Awe mzuri wa sura na Umbo (mrembo)(kigezo kikuu)
*Akiwa mikoa ya Lindi na Mtwara itapendeza.

NB: Nitamuhudumia kwa kila kitu kwenye mahitaji ya Msingi(basic needs)

Karibuni PM ipo wazi
kwa nini atokee Lindi na Mtwara?
 
Back
Top Bottom