Mwanamke wa kuwa Mchepuko rasmi anahitajika

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Samahani, napata shida kidogo kuja Inbox yako. Nina jambo nataka nikuulize kuhusu hapo Nanyamba. Kama hutojali naomba uje inbox
 
Kiukweli, hili ni kosa namba moja ambalo wadada wengi sana wanalifanya pasipo kujua madhara yake.
Katanguliza mwenyewe..hlf kosa gan sasa hapo wakat hata maandiko yanasema mwanaume utakula kwa jasho eboo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…