Mkuu, minadhani tatizolako ni chamaRais mpya ameshatangazwa na ameshaapishwa adi Gwaji boy kaingia mjengoni lakini mimi bado sijaleta Mrejesho hapa. Sio Kosa langu ni kosa la wadada wa jf, mnaishia kuview tu hata pm hamji
Ushimen na Allency nitawapa pasi ipi ikiwa hamji pm
Kesho trh 11/11 saa 11:11 jioni panapo majaaliwa nitakuja kuleta mrejesho wa huu Uzi wangu. Wadada wa jf mna roho mbaya sn. Kua Mchepuko ndo mnaona ishuu kubwaaaaaa
Tatizo langu ni chama? Tatizo ni wanawake wa jfMkuu, minadhani tatizolako ni chama
We si umeolewaDah aisee, fursa imenipita hivi hivi
Mkuu Kua serious, unataka mchepuko au una agenda nyengine nyuma ya hilo? Yani tangu 2020 Hadi leo hujapata? Unaishi msituni?Tangazo liendelee kuwepo kwa maana bado halijapata majibu ya kunifanya nilete Mrejesho. Wanawake wa jf karibuni, Pm ipo wazi kwa ajili yako
Jamaa kasema anahitaji mchepuko sio mkeWe si umeolewa
Hahahah kwahio upo tayari ku outsource huduma kwa mwekezaji wa nje!?😅Jamaa kasema anahitaji mchepuko sio mke
Kama atawekeza haina shidaHahahah kwahio upo tayari ku outsource huduma kwa mwekezaji wa nje!?😅
Kweli wake hatuna sikuhizi 🤣 nikiwaza jinsi mzee baba anavyojiamini kuwa mke wake hamsaliti hata kidogo nasema hiiiii!Kama atawekeza haina shida
Kiufupi sema hakuna ndoa siku hizi. Mwenzio anayetafuta mchepuko ameoa na mke wake anajiamini kuwa mume wake hachepuki.Kweli wake hatuna sikuhizi 🤣 nikiwaza jinsi mzee baba anavyojiamini kuwa mke wake hamsaliti hata kidogo nasema hiiiii!
Kweli kabisa ndio imekuwa sawa na maigizo ya kuishi nyumba moja tu kama Big Brother ila ushenzi unaofanyika pembeni ni balaa😀 yani jamaa alikodi na ghetto kwa ajili ya kufanyia ufuska tu ni soo!Kiufupi sema hakuna ndoa siku hizi. Mwenzio anayetafuta mchepuko ameoa na mke wake anajiamini kuwa mume wake hachepuki.
Nipo siriaz na sina ajenda nyingine zaidi ya kutafuta Mchepuko. Tangu mwaka 2020 Hadi leo 2021 sijapata na ninaishi hapahapa mjini sio poriniMkuu Kua serious, unataka mchepuko au una agenda nyengine nyuma ya hilo? Yani tangu 2020 Hadi leo hujapata? Unaishi msituni?
kwa nini atokee Lindi na Mtwara?Mimi ni mwanaume wa umri wa ‘mid 30's’, nimeoa na naishi na mke wangu. Kutokana na changamoto za ndoa nimelazimika kutafuta Msaidizi wa mapenzi kwa mke wangu.
Hivyo basi nahitaji Mwanamke wa kuwa Mchepuko wangu rasmi na wa kudumu.
*Awe na miaka kuanzia 20 -40.
*Awe na uwezo wa kujitegemea. (sio kigezo kikuu)
*Awe mzuri wa sura na Umbo (mrembo)(kigezo kikuu)
*Akiwa mikoa ya Lindi na Mtwara itapendeza.
NB: Nitamuhudumia kwa kila kitu kwenye mahitaji ya Msingi(basic needs)
Karibuni PM ipo wazi
Kwa sababu nmeyaelewa sana makabila ya Lindi/Mtwara kwenye mapenzi wana ufundi na udambwiudambwi ata Tanga hawawafikii hawakwa nini atokee Lindi na Mtwara?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wamakonde na wamakuaKwa sababu nmeyaelewa sana makabila ya Lindi/Mtwara kwenye mapenzi wana ufundi na udambwiudambwi ata Tanga hawawafikii hawa
Ongezea na Wamwela. Hayo makabila wanajua Show[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wamakonde na wamakua
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] inaonekana una uzoefu nao[emoji3]Ongezea na Wamwela. Hayo makabila wanajua Show