Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Ndio mkuu, utakua umenisaidia sana...[emoji39][emoji39]Ahsante mkuu. Vipi na wewe unahitaji ili kama watakuja wengine nikuweke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu, utakua umenisaidia sana...[emoji39][emoji39]Ahsante mkuu. Vipi na wewe unahitaji ili kama watakuja wengine nikuweke?
Sawa mkuu. Basi nikiwapata ntawafanyia Vetting baada ya hapo ntajichukulia Mchepuko wangu wa maana then wengine nitakupasia hata wa nne umalizane naoNdio mkuu, utakua umenisaidia sana...[emoji39][emoji39]
Hadi lini? Bado hawajaja. Njoo wewe basiVuta subira mkuu watakuja tu
Mimi nafasi zishajaa.Hadi lini? Bado hawajaja. Njoo wewe basi
Mimi nafasi zishajaa.
Watakuja tu in no time
Vuta subira mkuu watakuja tu
Me tayari ni mchepuko sehemu nyingine
Muulize kama anayo chura kwanza.
Ndio. Nahitaji mwanamke awe Mchepuko wang wa kudumu au awe Mke wa Pili lakin bila ndoa
Ashindwe yeye tu sasa. Asije kulalamika tena hukuNimekuja hapa, nimempa na location pia
Nimependa jinsi amekua mkweli na muwazi, michepuko ya hivi inakuaga mizuri😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnomno kila mtu anaishi anajua anachokifanya......... Sio mbuzi ingine inakwambia "sina mke ntakuoa" siku zinaenda chenga haziishiNimependa jinsi amekua mkweli na muwazi, michepuko ya hivi inakuaga mizuri[emoji23][emoji23]
Wanaboa hao, bora mtu useme tu ukwel tangia mwanzo ili uwe huruMnomno kila mtu anaishi anajua anachokifanya......... Sio mbuzi ingine inakwambia "sina mke ntakuoa" siku zinaenda chenga haziishi
Ahsante kwa Kuja. Thanks for comingPesa unazo??? Nipo nanyamba huku
Ahsante kwa Kuja. Thanks for comingPesa unazo??? Nipo nanyamba huku
Thanks. Niombee nipate huo mchepuko mzuri kama ulivosemaNimependa jinsi amekua mkweli na muwazi, michepuko ya hivi inakuaga mizuri😂😂
Thanks for coming, kwa location yako nafikiri hatitashindwana labda tishindwane kwa Vigezo vingineNimekuja hapa, nimempa na location pia
Je pesa ndio kigezo chako pekee?Pesa unazo??? Nipo nanyamba huku
Nakuombea upate mchepuko mzuri anayejitambua. Ambaye ataheshimu pia ndoa yakoThanks. Niombee nipate huo mchepuko mzuri kama ulivosema