Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Haya mambo yapo toka enzi na enzi.... Kama anakupenda yeye kweli atakupokea mno hadi ujute.... sasa we unampenda kinafki yeye kinafki utajua dunia tambala bovu...... Sema sio mapya yote unayoyaona yalikuepo
Ya 50/50 hayakuwepo tusidanganyane.
Siku hizi kabla hujaoa anakuomba umuoe.!!
Ukishamuoa anaanza kusema tumeoana!!
Manina, yaani nikulipie milioni 3 kwenu uje kusema tumeoana kwangu?
 
Nishakuambia dada yangu wewe unapenda mwanaume ambaye ni malaya by nature. Mwanamme anayejielewa na mwenye tabia nzuri ukimtreat vizuri hawezi kuangaika na wanawake wengine
Duuh mwanaume gani unamuongelea hapo? [emoji23][emoji23]
 
Ya 50/50 hayakuwepo tusidanganyane.
Siku hizi kabla hujaoa anakuomba umuoe.!!
Ukishamuoa anaanza kusema tumeoana!!
Manina, yaani nikulipie milioni 3 kwenu uje kusema tumeoana kwangu?
Yalikuepo sema watu walikua wakijua kutunza Siri za familia zao... Sio sasa mambo yote hadharani
 
Huu uzi unamjibu member Kamgomoli: Kwenye uzi Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi

Tunapaswa kuelewa maisha yamebadilika na yanatubadilisha, tutake tusitake. Tunapoweka faida za kuoa mwanamke msomi na asiye msomi tujue tunaelezea hizo sifa tukiwa katika era ipi.

mfano:
1. Mwanamke msomi mwenye kazi hatakuheshimu. Hapa itategemea unaishi naye kwa namna gani. Wanawake wa sasa sio wa Miaka ya 90 awe ana kazi asiwe na kazi hawataki kuburuzwa. hapa ni mwanaume kujua kuwa mtemi imeshapitwa na wakati ....ongoza Familia kidemokrasia. Ni afadhali kuwa na mwanamke msomi asiyeniheshimu kuliko niwe na mwanamke asiyemsomi anayeniheshimu kwasababu namzidi kila kitu.

2. Ukirudi kutoka kazini haupokelewi vizuri. What for? hili nalo na kulilia! ingia ndani salimiana ndani kwa ndani sio lazima mwanamke akukimbilie kama mbwa. Amechoka kumbuka naye Ametoka kazini.

3. Hatapata muda wa kuwatunza watoto na kuijali Familia. Wanaume tuwe wakweli kwenye hili. Ni nani anataka mwanae wa kike akawe mama wa nyumbani? be honest... Nataka mwanangu wa kike awe mtu kwenye watu..sio Mwanamke wa kukimbilia mijanaume iktoka kazini.

Wanawake wana ndoto zao kama ilivyo kwetu...wanahitaji kufanya kazi au kumiliki biashara zao.

4. Tendo la Ndoa itakuwa ishu. Hapa wote mtakuwa mnachoka..ila bado unanafasi kubwa ya kurekebisha hili..mtoe wife out weekend sehemu tofautitofauti...utaona tofauti. Sex sio maji kila siku mnadandiana.

Kwa ufupi nasema Dunia imebadilika na tuwe wakweli kulikubali hili na litatusaidia namna ya kuishi na mwanamke wa sasa.[/b]
Naam
 
4. Tendo la Ndoa itakuwa ishu. Hapa wote mtakuwa mnachoka..ila bado unanafasi kubwa ya kurekebisha hili..mtoe wife out weekend sehemu tofautitofauti...utaona tofauti. Sex sio maji kila siku mnadandiana[emoji1541][emoji1541]

POINT muhimu sana hiyo na wengi wanashindwa hapa.. Asante mkongwe Daby kwa mawaidha mazuri.. Kweli utu uzima dawa[emoji1545]
Hahaha
 
Back
Top Bottom