Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Kumtafuna mtu afue au kukupeleka cafe na kulipia bill Ni sehemu ya uwajibikaji Kama mume.

Maana inayotumika Ni pesa,Lile jasho halisi la mwanaume
Mimi pia naifanya sana kwa MKE wangu

Ila sio eti nikalishe makalio kwenye kigoda tufue au tuoshe vyombo kibarazani na MKE wangu. Ni hapana aisee[emoji4]
Kibarazani how? Tunafulia bafuni tunatoka kuanika tuu
 
Yani baadhi ya wanaume wanavyovimba kwny huu uzi utadhani wana'provide kila kitu huko majumbani

Mtu anadhani watu wakishakula yatosha...tunashukuru ila that's the bare minimum/basic need
Mwanaume lazima upambane uweze kuprovide kila kitu kwenye familia,

Ikiwemo
mkeo, wanao, wazazi wako pamoja na wakwe zako.

Huwezi hayo Ni Bora ubaki kua single TU,

Kuoa sio kuzalisha na kuvaa suruali TU, lazima uwe na kifua Cha kubeba majukumu maana wote niliowataja ni familia yako. Utake au usitake.

Huwez kusema umeoa,
Unashindwa kumuwekea mkeo vocha.
Unashindwa kumuunga kifurushi mama mkwe
Unashindwa kumuwezesha mzee wako au mdogo wako.

Kumbuka,
Wote hao wanamchango chanya katika ustawi wa familia yako
 
Tukitoka sisi nje ni tamaa zetu ila nyinyi hatuwafikishi mlima kitonga.
Kwani kuna siku wanaume mmewahi kuwa na sababu za msingi za kuwa na michepuko? Hata mfanyiwe yote ulimwenguni hapa mkiamua kutoka nje mnatoka.
 
Kibarazani how? Tunafulia bafuni tunatoka kuanika tuu
Nnachofua nyumbani kwangu huwa Ni boksa zangu na leso TU punde nnapomaliza kuoga.

Napo Ni pale nnapokua Sina HARAKA sana, nmerelax. Vinginevyo natupia kwenye tenga la chupi za wife atafua mwnyewe.

Vinginevyo labda nijiskie TU.
Nako Ni ngumu sana mpk itokee maana huo muda sidhan Kama naweza kuupata[emoji4]
 
Mnataka haki sawa ila majukumu hamtaki. Ukishaolewa uwe unatoa hela ya kuhudumia familia km kulipia watoto ada, kulipa pango la nyumba na mahitaji mengine.

Hata mahari muwe mnagawana nusu. Kama mahari ni milion 1 utoe laki 5 na yeye atoe. Ndiyo utaweza kusema hivyo na siku jamaa yako akipata mchepuko anaweza kumpelekea maji bafuni anahamia huko.
Chunga kauli yako mwanamke.
Waambie hao eti mwanaume anataka apelekewe maji bafuni ya kuoga yeye kujiepelekea hawezi 😂😂
 
Kuna demu mmoja alikuwa na pigo kama hizi. Kukupa mpaka apende.
Kila mtu alikuwa amepanga kivyake. Kufua nguo hakanifulii, kupika hakataki hata kula mzigo nao ni shida. Kanabana na kana kiburi sana
Siku moja nikakaibukia. Nakashika kanadai kamechoka. Huwa silazimishi. Nikaamka zangu nikarudi ghetoni kwangu. Nikasafiri, nimerudi kamejichibua kamakuwa keupe. Nikakapiga chini namba ya simu nilibadilisha. Nilikuwa nampango wa kumuoa lkn nikaona ipo siku nitakachoma na gunia 4 za mkaa. Acha wana nao wapambane
Naongezea hapo
Ndoa zilikuwepo zamani tu ila kwa kizazi cha sasa unaoa ili iweje wanawake wenyewe ndo hawa wa "haki sawa"?!
Siku akijiskia kukupa anakupa asipojiskia hata mwaka hakupi utaishia kuona tako tu kwenye nguo na ukithubutu kumlazimisha anakupeleka polisi kwa kosa la ubakaji
 
Mwanaume gani muoga wa maisha hivyo?
Hunaga akiba?
Hunaga assets?
Hunaga ndugu,jamaa na marafiki?

Au unaishi TU ilimradi kumekucha, tule yote leo ya kesho anayajua mungu?
Tena hao ndugu ndiyo huwa wa kwanza kunyang'anya mali za kaka yao marehemu na kumsimanga mwanamke kuwa alikuwa hafanyi kazi yete ni kakaa tu nyumbani!! Alikuwa Mama wa nyumbani tu!! Wanachukua kila kitu na kumwachia watoto; sijui awarudishe tumboni!!! Hivi vitu tumeviona!!! Wataanza kudai kimila mwanamke harithi mali na upuuzi kama huo.

Wachache sana wanaachwa kuendelea na maisha yao na mali walizoachiwa na waume zao.
 
Kabisa mkuu,
Mwanaume Ndo master plan wa familia
Yuko responsible kwa future nzima ya familia[emoji106]
Kwa wanaume wenye kuelewa majukumu yao na kutaka kuleta maendeleo kwenye family. Lakini ukutane na mwanaume suruali, mwanamke usiposimama kidete family imepotea.
 
Waambie hao eti mwanaume anataka apelekewe maji bafuni ya kuoga yeye kujiepelekea hawezi [emoji23][emoji23]
Kwanza maji mazito mwanaume ndiye anatakiwa ayabebe. Mwanamke anakubebea ndoo ya litre 20 huku unamfuata nyuma kuna haki kweli?
 
Mnataka haki sawa ila majukumu hamtaki. Ukishaolewa uwe unatoa hela ya kuhudumia familia km kulipia watoto ada, kulipa pango la nyumba na mahitaji mengine.

Hata mahari muwe mnagawana nusu. Kama mahari ni milion 1 utoe laki 5 na yeye atoe. Ndiyo utaweza kusema hivyo na siku jamaa yako akipata mchepuko anaweza kumpelekea maji bafuni anahamia huko.
Chunga kauli yako mwanamke.
Sio atoe mahari nusu.
Tubebane tu hivi hivi tukaishi.
Na asiwepo wa kumtegemea mwenzake.
Mwanaume kusimama na kutetea wanawake kwenye majukumu ya familia ni kujitoa akili tu.
 
Huu uzi unamjibu member Kamgomoli: Kwenye uzi Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi

Tunapaswa kuelewa maisha yamebadilika na yanatubadilisha, tutake tusitake. Tunapoweka faida za kuoa mwanamke
Haya mambo yapo toka enzi na enzi.... Kama anakupenda yeye kweli atakupokea mno hadi ujute.... sasa we unampenda kinafki yeye kinafki utajua dunia tambala bovu...... Sema sio mapya yote unayoyaona yalikuepo
 
Back
Top Bottom