Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Ni afadhali kuwa na mwanamke msomi asiyeniheshimu kuliko niwe na mwanamke asiyemsomi anayeniheshimu kwasababu namzidi kila kitu.
Aisee!

Samahani nimekosea uzi.Bakini na uzi wenu,umenishinda tabia.

🏃🏽
 
Kwakweli maisha yamebadilika.

Kwa sababu content zinazofanya ndoa iitwe ndoa zimebadilika,basi kuishi mke na mume ndani kusiitwe ndoa,kuitwe jina jingine.

Ndoa ambayo kila mtu anarudi saa nne nyumbani halafu kachoka,hii sio ndoa ni kitu kingine.

1.Ndoa ambayo kila mtu ana malengo yake kwenye familia yao,hii sio ndoa.

2.Ndoa ambayo mwanamke akipandwa na mumewe juu anahisi kaburuzwa na hakubali,hii sio asili ya ndoa ni kitu kingine.

3.Ndoa ambayo mke hasimami kama msaidizi,hii sio ndoa ni kitu kingine.

Asili ya ndoa ni mume kuwa kichwa,yaani kuna udictator kiasili,hakuna demokrasia hapo.haya mambo ya mke kutafuta usawa ndio yamesababisha wasomi wanakimbiwa,na ndoa zao ziko taaban,mwanaume msomi anakwenda kujiliwaza kwa mwanamke asiyejua hata kusoma maana ndiko uko asili ya mwanamke anaipata.
Fact kbisa hakuna ndoa hapo
 
Sijui hii inatokana na nini.. Ila kwangu naipinga hii, mie wangu glass ananisogezea ila hata mimi namsogezea, ataniletea maji, hata mimi nampelekea maji, kwetu hiki kitu hatuoni kama ni utumwa naona tunachukulia ni sehemu ya mapenzi yetu, nina nafasi ananiagiza kabisa na dukani, tena nikiwepo ni nadra saana mke wangu kwenda dukani au sokoni.

Kuna hali fulani ukiichukulia, itakupa majibu mabaya,
Mfano ukimchukulia mama wa kambo ni mtesaji, hata akiwa anakufundisha/anakufundishia mwanao kazi za home utasema mtu anateswa.

Mapenzi si utumwa, mapenzi ni burudani, tulizo la nafsi, mapenzi ni starehe, kuoneana huruma na kujaliana.
Mie sioni haya kuingia jikoni kumpikia mke wangu.

Bt usitegemee raha tupu, binadamu kukwaruzana kawaida saana, hata kama itapita miezi 6 but mtakwaruzana hata kidunchu.

Mpo wachache sana mwingine anakuambia nimekuoa ufanye nini?
 
fikiria siku ukakufwa zako, afu mkeo mama wa nyumbani na watoto 5, atawahudumia vipi? ndugu acheni wake zenu wapambane km mnavyo pambana
Mwanaume gani muoga wa maisha hivyo?
Hunaga akiba?
Hunaga assets?
Hunaga ndugu,jamaa na marafiki?

Au unaishi TU ilimradi kumekucha, tule yote leo ya kesho anayajua mungu?
 
Ngoja nikuambie mkuu unajua hii elimu ya kusoma na kujua kingereza ndo tatizo yaani mtu anajiona kasoma baada ya kujua kingereza na kufuata mila za kizungu

Kumbe mjinga mtupu mtu anashindwa kujua nafasi yake kama mwanaume ni tatizo ipo siku atakuja kumbebea mkewe mimba mambo ya haki sawa
Sahii kabisa,
Mtoa mada amefeli Sana ktk hili,
Kajivua nguo kabisa, uanaume wake uko mashakani[emoji4]
 
Yani na uchawi woooote kumbe jamaa ni simp aiseee. Au kwasababu kwenye mauchawi anakutana sana na wanawake wameugeuza moyo wake kama Sulemani alivyogeuzwa moyo na wanawake wa mataifa.

Eti Mshana Jr what went wrong bru ukaamua kua feminist wa kiume ?!, am curious sikutegemea jabali kama wewe kua simp.
Karogwa sio bure[emoji4]
 
Upo sahihi San mkuu, lakini nadhani kun kitu unakiacha nyuma ambacho ni Sambamba na hilo.

Kwa kuanzia;
Utamaduni wa democrasia ktk familia umetokea ulaya(siyo Jambo baya) ,lakn hao watu wa ulaya kulikamilisha Hilo pia kun baadhi ya tamaduni hazipo ambazo ndio chanzo cha kumfanya au kumjenga kifikra mwanaume kuw anahaki ya kunyenyekewa na mkewe.

mfano
1.Mwanaume kuw Kama mtafutaji wa familia,Jambo hili cyo baya kulingana na maumbile ya mwanaume kuweza kustahimiri mazingira mengi ya hatr.

Hii Inamfanya mwanaume atake kusaidiwa kazi nyingn na mkewe hasa hizo za nyumbn Mana tayar anamajukumu yake( kuleta mkate nyumbn).

2.Mwanaume kulipa mahari,hili nalo litolewe,man Kam unamlipia mke mahari milion 1 au 2 na mengine kwann asiwe chini yako.

Hili pia zungumzia.

3.Mwanamke asiwe tegemezi kwa mwanaume,ni ngumu San mtu unaye mpa kila hitaji lako asiwe chini yako.

Hivo hayo ni baadhi tu ya mambo ambayo inapaswa yaachwe ndio nikubaliane na mawazo yako.
Una hoja za msingi Sana
Asipokujib atakua hayuko serious na uzi wake
 
Tushukuru tulioolewa na wanaume waelewa wenye demokrsia wanajali basi raha tuu. Mume anajua umechoka anakwambia waifu subiri jmosi tufue wote au tafuta mtu afue au usipike kwa vile leo tulikua shamba basi twendeni tukale na familia out. Sasa mume kama huyu unaachaje kumkubali asee
Kumtafuna mtu afue au kukupeleka cafe na kulipia bill Ni sehemu ya uwajibikaji Kama mume.

Maana inayotumika Ni pesa,Lile jasho halisi la mwanaume
Mimi pia naifanya sana kwa MKE wangu

Ila sio eti nikalishe makalio kwenye kigoda tufue au tuoshe vyombo kibarazani na MKE wangu. Ni hapana aisee[emoji4]
 
Mleta mada hapa kapuyanga pakubwa, sijui aliwaza nini, au alikuwa na maana gani.

Nyakati zimebadilika sana, ila mwanaume habadiliki na nafasi yake haina substitute, ieleweke hivyo.
Sahii kabisa,
Hata wanawake wenyewe wanaolilia 50/50 Kuna MDA hiyo fifty fifty wnaiweka pembeni na kusema
"wee SI Ndo mwanaume?"

Maana ake hapo lazima urejee kwenye nature yako.
 
Back
Top Bottom