Mwanamke wa uswahilini

Namba tano sio kweli mkuu, wanawake wengi wa uswazi nimen-dependant hivyo kutegemea wanaume kuendesha maisha yao.huamini wao wamezaliwa kuolewa nakupokea tu kutoka kwa waume zao.
 
Hawapendi kazi
Kutwa vibarazan kusengenya
Wanaongoza kuachika sababu ya uhuni
Hupenda kuvaa kanga na kofuli tu
marafiki kushare mwanaume kawaida
yupo radhi ndoa ivunjike kuliko kumnyima kuhudhuria shughulini kila wakati hupenda sana
Kama kuna shughuli Wapo radhi kukodi mziki wa kuanzia laki 2 ilihali nyumba imeezekwa kwa makuti
 
Sahihu,uko sahihi kabisaaaaa,nyongeza hawajistress namaswala ya maendeleo wao kichwani mwao nikuvaa,kula namaswala ya wanaume ndio agenda zao kubwa,shuluhi naumbea,hawashindi nyumbani kutwa vibarazani kupiga umbea halafu pesa utoe ww mwanaume yy kazi yake nikupiga umbea tu,
 
Namba tano sio kweli mkuu, wanawake wengi wa uswazi nimen-dependant hivyo kutegemea wanaume kuendesha maisha yao.huamini wao wamezaliwa kuolewa nakupokea tu kutoka kwa waume zao.
Baadhi Ila sio wote, wapo wanaoketi vibarazani from morning to evening Ila ukitaka kujua ni wahangaikaji, wale wanawake waliojazana masokoni na kwenye stendi za daladala wakifanya biashara ndogo ndogo, wengi wanatokea huko

Hakuna mwanamke wa ushuani anaedamka saa tisa hadi kumi kwenda ferry, stereo au msimbazi kujumua samaki, matunda na mbogamboga kwa ajili ya kuuza.. Ni waswazi

Hata huko uswahilini kwenyewe wauza soup za mapupu, wakaanga chapati, mihogo, maandazi ni wenyewe.. Wanaoptisha vitenge na vyombo vya mikopo ni wenyewe

Sisemi hizi stereotypes zipo totally wrong Ila zimekuzwa kuliko uhalisia wenyewe na wengi humu wanavyoongea unajua kabisa, uswazi anaujulia kwa zai wa kijiwe nongwa au vile vipindi vinavyoonesha shughuli zao za ajab ajab YouTube Ila hajawahi kuishi
 
Ni wepesi kutoa 0713
 
Nilipata mmoja wapo jmn nikajidanganya kufall in love na yeye, nimekula mara 4 mara ya 5 akanipa Gono kmmK, nilimwambia ukweli kuwa cjakutana na m/mke mwngn yyte kimwili tng nianze kuwa nae akawa anajiumauma nikamjibu tu ujatulia mpuuzi wew mara.

Kiukweli kubajeti pesa hawajui, Ni Wana midomo michafu matusi kwao km salamu, kauli mbovu, Wana viburi ingali maisha yao Ni duni balaa, imani za kishirikina kwao Ni tamaduni,

Ila kitandani jmn wale viumbe Ni nyoko balaa, kwa hili tu ndio nawapongeza na kuwapa nyota zao 5...[emoji23] Ni mafundi sio mchzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…