Mwanamke wa uswahilini

Mwanamke wa uswahilini

Ni haki yako ya kifikra kuchukulia ulivyochukulia ndugu na si jukumu langu kukuaminisha tofauti . Unayakini gani kuwa siishi maisha ya uswahlini kiasi cha kujua nini hasa kinachoendelea.

Nilichoandika ni uhalisia wa asilimia kubwa ya wanawake wa kiswahili, wewe iite dhihaka mimi naita ukweli. Kwa vile tu jambo haliridhishi basi haluzuiwi kuongelewa kwa hofu ya kusema ni dhihaka.

By the way kuna utofauti mkubwa baina ya ustaarabu na ufukara. Hali yako ya kimaisha haipaswi kuwa muamuzi wa maisha yako binafsi. Wazee wetu walikuwa mafukara lakini hawakujidhalilisha kama wafanyavyo hawa wa sasa katika jina la uswahili na mbaya zaidi wengi wao wanaishi uswahilini hivyo ulitaka niwanasibisha na uhindini au?

Kabla ya kutuhumu tafakari kwanza mada inahusu nini hasa.

Uwe na mchana mwema chief.
Ninakutakia mchana mwema pia mkuu. Sina chuki na watu wa kipato cha juu lakini tujitahidi kadri ya uwezo wetu kuwasaidia wengine kwa maana huo ndio ubinadami.
 
Memory yangu huwaga ipo vizuri sana🤣🤣🤣🤣Kuna rafiki yangu namkumbushaga habari tulifanya miaka ya nyuma anakuwa hakumbuki kabisaaa mi namtajia Hadi tulivyovaa huwa anachekaaa sana....wajukuu zangu watafaidi mastory sana
Wajukuu zangu sijui kama wataambulia kitu maana Mimi ni wale ambao tunabaki na hisia flani kwa watu japo tendo tulilotendewa tumeshasahau 😁😁
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uswahilini kumekuchaaaa!!
 
Dah huko sijui utanidanganya wapi jamani!Ukifika pale Pugu kajiungeni ukikata kushoto,Kwa raisi,Kwa seremala,kigogosokoni, kinyamwezi,Kwa mbiki,nguvukazi, masantula,Kwa Ngwale Chanika mwisho....vipi niendelee na njia ya Mvuti tutokee mbagala au niingie na ya Homboza?

Sisy umenishinda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nakumbuka nilipataga mashost wa mbagala wakanipeleka mto mzinga kuoga!!! Nilishangaa dar kuna mto? Aiseee nilipata na kibuzi kihindi koko
 
Hongera wewe tajiri

Acha kuwa negative… hakuna mtu anawadhihaki watu wa uswazi halafu asilimia 90 watz wengi wametokea uswazi na kuwa ushuani

Huyo diamond si katokea tandale nani alimshika mkono si juhudi zake peke ake matajiri kibao wameanziaa uswazii

Kingine mimi pia nimekulia uswazi na nawajua kindakindaki japo sina hata tabia moja za kiswazi

Malezi mabovu ya wazazi na watoto kutokujitambua vinapelekea wawe na tabia za hovyo watoto wa rika langu niliosoma nao karibia wote wameishia la 7 wengine form 2 wengine 4 failure mbona mimi sikuishia hapo hii ni kutokana na wazazi wangu walipambana hawakutaka ujinga na sio suala la kuwa na hela

So hakuna mtu anawakejeri hapo ni ndivyo walivyo na wanafanya kwa kupenda wala sio umaskinii na asili na tabia zao na ndio furaha yao kuwa hivyo hata apate pesa nyingi bado atafanya sherehe ya kumsuta mtu tabia ni ngoziiii
 
Sisy umenishinda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nakumbuka nilipataga mashost wa mbagala wakanipeleka mto mzinga kuoga!!! Nilishangaa dar kuna mto? Aiseee nilipata na kibuzi kihindi koko
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila wewe mtoto una BALAAA wewe!Sasa pale mtoni mnaogaje pale si Bora mngeenda beach ya bure kule mjimwema kigambonino?
 
Acha kuwa negative… hakuna mtu anawadhihaki watu wa uswazi halafu asilimia 90 watz wengi wametokea uswazi na kuwa ushuani

Huyo diamond si katokea tandale nani alimshika mkono si juhudi zake peke ake matajiri kibao wameanziaa uswazii

Kingine mimi pia nimekulia uswazi na nawajua kindakindaki japo sina hata tabia moja za kiswazi

Malezi mabovu ya wazazi na watoto kutokujitambua vinapelekea wawe na tabia za hovyo watoto wa rika langu niliosoma nao karibia wote wameishia la 7 wengine form 2 wengine 4 failure mbona mimi sikuishia hapo hii ni kutokana na wazazi wangu walipambana hawakutaka ujinga na sio suala la kuwa na hela

So hakuna mtu anawakejeri hapo ni ndivyo walivyo na wanafanya kwa kupenda wala sio umaskinii na asili na tabia zao na ndio furaha yao kuwa hivyo hata apate pesa nyingi bado atafanya sherehe ya kumsuta mtu tabia ni ngoziiii
Endelea kuniona nipo negative ila dhihaka sio uungwana. Huujui umasikini wewe unasomeshwa mpaka boarding utafanana na mtoto anayekula mara mbili kwa siku?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila wewe mtoto una BALAAA wewe!Sasa pale mtoni mnaogaje pale si Bora mngeenda beach ya bure kule mjimwema kigambonino?

Shule si unajua kujazana ujinga na zile story za ujuaji, bas nikasema sikubali twendeni nikajionee!!! Kwanza nisikitike [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Endelea kuniona nipo negative ila lakini dhihaka sio uungwana. Huujui umasikini wewe unasomeshwa mpaka boarding itafanana na mtoto anayekula mara mbili kwa siku?

Kwani bording ni bei gani

Kama mtu yuko radhi akope kwa kausha damu ili akamtunze shoga yake, anunue vijora vipya kila siku afanye birthday kila week utasema hana hela huyo ni kwamba kuna mambo ya kijinga anayapa kipaumbele zaidi ya mambo ya msingi

So hiyo ni tabia yake na sio umaskini

Hakuna mtu anadhihaki hapa tunaongelea ukweliii
 
Kwani bording ni bei gani

Kama mtu yuko radhi akope kwa kausha damu ili akamtunze shoga yake, anunue vijora vipya kila siku afanye birthday kila week utasema hana hela huyo ni kwamba kuna mambo ya kijinga anayapa kipaumbele zaidi ya mambo ya msingi

So hiyo ni tabia yake na sio umaskini

Hakuna mtu anadhihaki hapa tunaongelea ukweliii
Ngoja siku ukiwa mkubwa ndio utajua maisha ni nini. You're too young to understand what it takes to be a man.
 
Kwani bording ni bei gani

Kama mtu yuko radhi akope kwa kausha damu ili akamtunze shoga yake, anunue vijora vipya kila siku afanye birthday kila week utasema hana hela huyo ni kwamba kuna mambo ya kijinga anayapa kipaumbele zaidi ya mambo ya msingi

So hiyo ni tabia yake na sio umaskini

Hakuna mtu anadhihaki hapa tunaongelea ukweliii
Achana na maisha ya watu....Mkienda kijijni na wazazi wako nyie ukoo mzima mnaonekana wa maana sababu tu unaishi au unatoka huko uswazi.

Inshort mnakuwa kama popo hamueleweki. Wakipondwa wa mjini unajiweka mbali,wakisifiwa mnajileta.
 
Wanapenda kuvaa dera bila chupi.

Mafundi vitandani, ukienda kizembe lazima utangaziwe kuwa kimoko chali.

Maisha yao ya ngono sio siri. Kwao ni sifa kutangaza jinsi walivyofanywa na mabwana zao na ndio maana ni rahisi kutembea na marafiki hata 10 kutokana na jinsi wanavyohadithiana.

Hawana gharama kubwa za maintainance, kuanzia nywele mpaka kiatu inaweza isigharimu hata 50,000.

Wanapenda sana kuvaa sare. Ikitoka design mpya ya nguo sio ajabu ukakuta mtaa mzima kila mtu anayo. Na wanahakikisha inavaliwa mpaka iombe poo.

Hawana hiyana kwenye kugawa papuchi hivyo uzoee kugongewa.

Wanaamini mno katika shirki. Akiumwa kichwa lazima aende kwa babu kutazamia.

Wanapenda sana ugomvi, kitu kidogo tu wanachapana.

Wana asili ya uchafu, mtu kuamka na kuanza kuzurula mji mzima bila kuoga ni kawaida.

Wanapenda sana kuazimana vitu. Sio ajabu wakaazimana mpaka chupi.
Kudadadeki 🤔
 
Back
Top Bottom