Ni kweli Ndugu sio ujanja lakini katika maisha kitu unachokipenda kifanye angali unauwezo na nguvu, Afya sio yetu siku zote na maisha pia, Ni kumuomba mungu na kutumiza tunayotamani kutimizasi ujanja kumiliki magari yote hayo ila
KATAA NDOA
Kabisa.Maana vipigo vimezidi.Ili uwe na uhakika kama sura zinafanana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dahSio tatizo kumpenda maana inaonyesha ni seriously alikua ni mtu sahihi. Imagine nimepata mafanikio na bado nakumbuka kuja kukusalimia, ingekua miki ningemgonga na gari..ningelatafuta na kale ka ist nako naka gonga.
Nataka niweke misingi ya kujitambua,umakini,ufuatiliaji matokeo chanya,ushuhudiaji ukweli na kuthamini muda na mali.Linapigwa Taifa unaogopa kupigwa wewe? 🤣🤣
Shwaa[emoji1787]Nadhani bado unampenda
Wewe lengo lako la kwenda kumjulia hali ni kumuonyesha kwamba sasa una magari, na wala sio kwamba una nia njema nayeye.Kuachana na mtu haiimanishi huwezi mjulia hali, au mpaka usikie kafa ukahudhurie Msiba
wapohivi ni kweli kuna watu wanapaparikia mwanaume kisa 'gari'..??
smdh..!!
Kitendo cha wewe kwenda kumsalimia ili kuonyesha kua sasahivi una Gari,kinathibitisha kua bado unaumia kwa kuachwa na huyo mwanamke,hukua na haja ya kutaka kumuonyesha,wewe ungeendelea tu na maisha yako nae ukamuacha aendelee kivyake.hua napita kumsalimiaanapofanyia kazi kuonesha kua wakati wa Mungu ni sahihi zaidi.
Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu