Na huwezi miliki gari kama huna pesaHapo Ndugu Yangu Atakusumbua Hadi Uchanganyikiwe.
Wanawake Huwa Wanaona Gari Ni Pesa Kumbe Gari Ni Kama Mke Wa Pili/Mchepuko Kuigharamia & Upendo Wetu Upo Huku Zaidi Ya Hata Ya Kwa Mwanamke.
Wanawake Wangekuwa Na Akili Wangewapenda Wasio Na Magari Maana Kule Wanapewa Hela Zaidi Kuliko Huku Wanagawana Na Vimeo Vya Kuigharamia Gari Na Ku-maintain.
Kisasi na kumbukumbu mbaya ni sehemu ya maradhi ya akili.Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala. Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu. tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu nin mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu.
Tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu, Mwenyezi Mungu sio Athumani, saivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Ila mapenzi bhana, saivi nina Magari anapaparika mnoo.
Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Weeeeeeeeengiii wa dadaa,,,nenda sehemu za starehe au kumbi za harusi wakati wa kuondoka....utanielewahivi ni kweli kuna watu wanapaparikia mwanaume kisa 'gari'..??
smdh..!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiii comment naomba izingatiwee......na utashaangaa anatwambia kwa mshahara wa serikaliUlimaliza chuo lini na hayo magari matatu umeyapata lini? Naona umeamua kutudanganya kujipoza machungu ya kuachwa
[emoji23] ndo Hapo sasaUlimaliza chuo lini na hayo magari matatu umeyapata lini? Naona umeamua kutudanganya kujipoza machungu ya kuachwa
Wapo wengi sanahivi ni kweli kuna watu wanapaparikia mwanaume kisa 'gari'..??
smdh..!!
Hivi hizo akili na mawazo ya kijinga mnayatoaga wapi nyie watoto wa siku hizi?Kuachana na mtu haiimanishi huwezi mjulia hali, au mpaka usikie kafa ukahudhurie Msiba
Nakazia hapa mkuu, kuna jambo la kujifunza hapaHivi hizo akili na mawazo ya kijinga mnayatoaga wapi nyie watoto wa siku hizi?
Ukiachana na mtu jifunze kukata mawasiliano mazima. Haijalishi mmeachana kwa ubaya au kwa wema. Mambo ya mawasiliano ni ushenzi mtupu.
Labda nikuulize kitu. Ikitokea umeoa au umepata mpenzi mwengine. Halafu ukagundua huyo mpenzi wako bado anajuliana hali na kuwasiliana na mpenzi wake wa zamani utajiskia poa?
Nyie ndio mnaofanya taasisi ya ndoa na mahusiano kukengeuka siku hizi. Ndio maana vijana wamesanuka hawataki kabisa kuoa.
katafute jukwaa la watoto wenzioNilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala. Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu. tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu nin mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu.
Tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu, Mwenyezi Mungu sio Athumani, saivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Ila mapenzi bhana, saivi nina Magari anapaparika mnoo.
Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Kwamba wewe ukifuatwa na boda boda na Landcruiser LC300 hutaona utofauti?hivi ni kweli kuna watu wanapaparikia mwanaume kisa 'gari'..??
smdh..!!
mkuu usidharau watu mimi nimemaliza chuo 2021 na sas nina gari mbiliUlimaliza chuo lini na hayo magari matatu umeyapata lini? Naona umeamua kutudanganya kujipoza machungu ya kuachwa
95% including her.95% wanawake wanapapatika
Inanifuata baiskeli ama ananifuata 'mtu', nina deal na 'muhusika', alichonacho it's non of my fqn business..!!Kwamba wewe ukifuatwa na boda boda na Landcruiser LC300 hutaona utofauti?
Nakukumbusha upo Jamiiforums na sio facebookNilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala. Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu. tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu nin mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu.
Tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu, Mwenyezi Mungu sio Athumani, saivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Ila mapenzi bhana, saivi nina Magari anapaparika mnoo.
Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu