Mwanamke wangu ananiomba sana hela. Kwa hali hii nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine

Mke mwenye busara hutoka kwa Bwana angalia sana njia unazopita kijana shetani ana njia nyingi za kuangusha uchumi wako
Piga magoti wiki moja mara tatu kwa siku omba Toba jitakase kwanza omba Mungu akupe mke mwema andaa na sadaka yako nenda jumapili katoe sadaka kumshukuru Mungu hivi ndio mke mwema anavyopatikana tena Mungu atakupa mwanamke wa ujana wako nazani umenielewa
 
Kmmk hawa wanawake sasa naona wanaanza kutuchezea mapumbuzz....wee 500k unaomba kirahirahisi hivyo kwamba zinaokotwa!
Dah aisee vijana kwa kweli wacha tuendelee na nyeto ya mlenda. Kweli hawana huruma na sie sasa na sie ni mwendo wakuzalisha single maza yaani mpaka tz ijulikane ulimaenguni kama kiwanda cha single mazas
 
Ni danga mkuu uhitaji uwepo wa daktari.
 
Huitaji ata mungu kujua mwanamke mwema bwana. Sasa kama huyu kweli unahitaji mungu akuonyeshe kuwa hafai?
Tutumie akili zetu baadala ya hisia kuchagua mke na utapata tuu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ 500k January hii ni bora kununua aisee mapenz ni cost sana saiv.
 
Umenikumbusha huyo manzi. Nilikuwa namkubali sana ila sasa uombaji wa hela ulinifanya nihisi kuna mtu pembeni anahudumiwa kwa hela zangu.
Siku moja, nilikuwa nimevurugwa akaniletea habari za hela, nikablock. Mpaka leo sijui anaishi au la.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…