Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
-
- #121
😂😂😂😂Hiyo bili imeandikwa na mchaga wa machame!!! Shimboni shafo!!!
Halafu ameorodhesha kabisaa yaanii.... nataka hiki na kile, wanja, lipstic, nauli, chips yai....
Aiseee mbona ningemtimua fasta!!! Kwani ni nini anakupa cha maana!???? Hilo limbunye lenye gonorea na fangasi??
Kuna watu mna mioyo ya chuma kama kiranja wenu blaza Evelyn Salt
Cc: Kijana masikini Dogoli kinyamkela Nyani Ngabu Extrovert Labella Mwachiluwi Poor Brain mshamba_hachekwi
Sawa mkuu nimekuelewa vemaWe jua TU anakuchukia ndio maana anataka kukuuzia penzi kuwa romantic sio shida si anaangalia video za Balthazar ataacha vipi kuwa wet n romantic
Upo mkoa gani mkuu usije kuwa upo mbwinde hukoHatari, Mimi hadi umri huu sijawahi kukutana na binti wa kariba hiyo.😅😅
Nishatoka kibati mkuuPiga chini kimbia saana
Kweli mkuu hawa ni hatari sana kwa uchumi wetuMmh wako kazid sana sema kama ushamla achana nae mkuu madem vichom omba omba hawafai
Mda wote anawaza hela zako tu
Leta namba bac mbona kelele nyingiKwa hela gani ulizokua nazo mpaka uanze kutuma kwa watu usiowajua
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻We nae kolo tu acha kufanya mwanaume mwenzako ajihisi useless kwahiyo unaona wewe ndo unapesa za kuhongahonga hovyo, kuhonga Kila siku au sio na kwaakili yako unazani ataishia hapo, Labda Kama pesa zako haramu sio za mtafutaji wa kawaida .
Inasikitisha sanaAmeshakufanya mtaji
Kwa hiyo ulitaka kijana ajitose awe anampa hizo pesa? Later aachwe! Acha kudanganya vijana...Wanaume kajamba nani kwa kupenda kulalamika hamjambo 🙌🙌
Duuh ni kama nimekuelewa mkuuHili jambo lipo kiroho zaidi sio rahisi kulielewa unapotoa sadaka ya agano na Mungu ili akupe mke mwema unakuwa umeikata Ile roho inayozuia mafanikio huyu mtoa mada anatatizo ambalo yeye mwenyewe bado hajalielewa huyu ana roho inayozuia uchumi wake bila kutoa sadaka ya agano atendelea kukutana na Wanawake wa sampo hizo tu
Njoo pmNaomba namba yake nimtumie hiyo pesa atakayo.
PM yangu iko wazi kama mlango wa kuzimu.Njoo pm
Mkuu kwahiyo kupendwa sio chanjo ya kutochapiwa sio? 🤗Huyo hakupendi, sio mwanamke wako sababu ana mwanaume wake anayempenda sana na sio wewe
Wachana na mambo ayoo utaambikizwa kunuka ndio upate akiliLeta namba bac mbona kelele nyingi
Umesahau na UTI la buku jero mkuu 😂😂Hilo limbunye lenye gonorea na fangasi??
Eti bill mpya, tuonyeshe control namba😂😂😂😂😂😂Wewe unaona alichokifanya mwenzako ni sahihi mtu kazi anayo bado anataka anitegemee jwa kila kila kitu na juzi jumanne nimempa 80k ya kusuka na mambo mengine madogo madogo lakini leo tena tayari bili mpya
Kwani mwenye shida ni nani mkuu em kuwa seriousPM yangu iko wazi kama mlango wa kuzimu.
Nitumie namba pls.
Hivi hawa wanawake wanao omba kama hivi huwa mnawapata wapi🤣🤣Kataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine.
Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake
Wapo humu humu mjini kwani wewe unaishi wapi mkuuHivi hawa wanawake wanao omba kama hivi huwa mnawapata wapi🤣🤣