Mwanamke wangu ananiomba sana hela. Kwa hali hii nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine

Mwanamke wangu ananiomba sana hela. Kwa hali hii nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine

Hiyo bili imeandikwa na mchaga wa machame!!! Shimboni shafo!!!

Halafu ameorodhesha kabisaa yaanii.... nataka hiki na kile, wanja, lipstic, nauli, chips yai....

Aiseee mbona ningemtimua fasta!!! Kwani ni nini anakupa cha maana!???? Hilo limbunye lenye gonorea na fangasi??

Kuna watu mna mioyo ya chuma kama kiranja wenu blaza Evelyn Salt

Cc: Kijana masikini Dogoli kinyamkela Nyani Ngabu Extrovert Labella Mwachiluwi Poor Brain mshamba_hachekwi
😂😂😂😂
 
We nae kolo tu acha kufanya mwanaume mwenzako ajihisi useless kwahiyo unaona wewe ndo unapesa za kuhongahonga hovyo, kuhonga Kila siku au sio na kwaakili yako unazani ataishia hapo, Labda Kama pesa zako haramu sio za mtafutaji wa kawaida .
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Hili jambo lipo kiroho zaidi sio rahisi kulielewa unapotoa sadaka ya agano na Mungu ili akupe mke mwema unakuwa umeikata Ile roho inayozuia mafanikio huyu mtoa mada anatatizo ambalo yeye mwenyewe bado hajalielewa huyu ana roho inayozuia uchumi wake bila kutoa sadaka ya agano atendelea kukutana na Wanawake wa sampo hizo tu
Duuh ni kama nimekuelewa mkuu
 
Wewe unaona alichokifanya mwenzako ni sahihi mtu kazi anayo bado anataka anitegemee jwa kila kila kitu na juzi jumanne nimempa 80k ya kusuka na mambo mengine madogo madogo lakini leo tena tayari bili mpya
Eti bill mpya, tuonyeshe control namba😂😂😂😂😂😂
 
Kataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine.

Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake

Hivi hawa wanawake wanao omba kama hivi huwa mnawapata wapi🤣🤣
 
Back
Top Bottom