Mwanamke wangu anapenda mapenzi kila dakika na ni mke tutatoboa kweli?

Mwanamke wangu anapenda mapenzi kila dakika na ni mke tutatoboa kweli?

Aisee
IMG_20240323_193052_483.jpg
 
mpige show moja kubwa sana yaani heavy kweli kweli. kama huwezi mtafutie mishe ya kufanya ambayo itamchosha siku nzima akirudi jioni alale kama mfu. nakushauri hivyo kwa sababu usipochukua hatua ya haraka huyo mke wako ataliwa sana na vijana barubaru wanaokunywa visungura, na akishapigwa nje akiuona moto wa visungura atakuloga uwe zezeta
 
Tangu nizaliwe sijaona mwanamke anaupwiru kama huyu. Yaani ukitua kitandani tu mikono mwilini anataka show. Ukipiga show ya kawaida. utakuta bado anakupapasa hapo ujue ushavurunda.

Ukimpiga show babu kubwa aisee analala huko hana hata hamu analala kama amekufa.

Sasa changamoto anataka kila sikuuuu iendayo kwa mungu. Yaani hajali umechoka au jana mmepiga yeye hataki kujua muda wote mihemuko. Na labda utasema nimechoka nipige kimoja nilale hapo ndo umeyakanyaga maana bila show ile yenyewe anasumbua mikono kila sehemu had kero.

Napenda ngono ila huyu niliyempata amenizidi zaidi ya marasaba.Nataman mapumziko lakini wap
Wape wadau wasaidie
 
Piga miti hadi maQu inavimba chuppi havai maana inakuwa inamkera, akiona mkuyenge anakuwa mpoleee
Nani aliwahi kuikomesha K? Utajimaliza wewe tu.

Dawa ni ndogo sana, mwenye tatizo ni mwanamke hapo, awaone kina mama wazee wakihaya au wakidogo wampe dawa ya kumsaidia huyo mwanamke awe "pee". Bila hivypo hata afanye nini, hata mkae mstari wa watu 20 hamtamtosheleza huyo. Mishipa yake ya kike imefubaa.

Akicheleweshwa sana huyo anaangukia kwenye usagaji.
 
Nani aliwahi kuikomesha K? Utajimaliza wewe tu.

Dawa ni ndogo sana, mwenye tatizo ni mwanamke hapo, awaone kina mama wazee wakihaya au wakidogo wampe dawa ya kumsaidia huyo mwanamke awe "pee". Bila hivypo hata afanye nini, hata mkae mstari wa watu 20 hamtamtosheleza huyo. Mishipa yake ya kike imefubaa.

Akicheleweshwa sana huyo anaangukia kwenye usagaji.
Mishipa yake imefubaa ndo nn
 
Wakati nipo Chuo niliwahi kukutana na wa hivyo, alifanya nikonde hadi kichwa 🙌

Unajua kwenye ngono, Wanaume ndiyo tunatumia nguvu nyingi kuliko Wanawake

Kwahiyo ukiendekeza lazima upungue

Nashauri tufanye ngono ya wastani

Unapiga vyako vitatu unalala

Asubuhi morning glory yako Moja inatosha
 
Back
Top Bottom