Rule L
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 1,846
- 2,754
Nipo hapa kukusaidia shida zako[emoji6][emoji1787][emoji1787][emoji3061][emoji3061][emoji3577]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo hapa kukusaidia shida zako[emoji6][emoji1787][emoji1787][emoji3061][emoji3061][emoji3577]
Sawa mkuuNipo hapa kukusaidia shida zako[emoji6]
Hahaha, wee muache ,atakuwa skrepa muda si mrefu. Hivi inakuwaje mtu mnafanya tendo kila siku? Hamna kazi nyingine za kutumia akili? Mwisho wa siku mtakinahi na kuona hamna jipya.Hiyo kitu sio ya kuifakamia[emoji3][emoji3][emoji3]
Aaah namuonea wivu huyo kijana,Kuna mtoto wa ma mkwe kanishikilia mnoo, yaan sifurukutiii, ila mie nipoo sana humu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ni mchaga na anakupa hivyo jua kakupenda kweli 😁mbaya zaidi ni mchaga wa mjini na yeye ndiyo mwenye hela!
Wape wadau wasaidieTangu nizaliwe sijaona mwanamke anaupwiru kama huyu. Yaani ukitua kitandani tu mikono mwilini anataka show. Ukipiga show ya kawaida. utakuta bado anakupapasa hapo ujue ushavurunda.
Ukimpiga show babu kubwa aisee analala huko hana hata hamu analala kama amekufa.
Sasa changamoto anataka kila sikuuuu iendayo kwa mungu. Yaani hajali umechoka au jana mmepiga yeye hataki kujua muda wote mihemuko. Na labda utasema nimechoka nipige kimoja nilale hapo ndo umeyakanyaga maana bila show ile yenyewe anasumbua mikono kila sehemu had kero.
Napenda ngono ila huyu niliyempata amenizidi zaidi ya marasaba.Nataman mapumziko lakini wap
Nani aliwahi kuikomesha K? Utajimaliza wewe tu.Piga miti hadi maQu inavimba chuppi havai maana inakuwa inamkera, akiona mkuyenge anakuwa mpoleee
sema wwWape wadau wasaidie
Mishipa yake imefubaa ndo nnNani aliwahi kuikomesha K? Utajimaliza wewe tu.
Dawa ni ndogo sana, mwenye tatizo ni mwanamke hapo, awaone kina mama wazee wakihaya au wakidogo wampe dawa ya kumsaidia huyo mwanamke awe "pee". Bila hivypo hata afanye nini, hata mkae mstari wa watu 20 hamtamtosheleza huyo. Mishipa yake ya kike imefubaa.
Akicheleweshwa sana huyo anaangukia kwenye usagaji.
wachaga hawanaga time na ngono etiKama ni mchaga na anakupa hivyo jua kakupenda kweli 😁
muhayaKabila gani??
Aisee ni kweli kuna wqle wenye pepo la ngono lazima unyooshe mikono
[emoji23][emoji23] sawa sawaKwani alikuja kwako kupiga stories? Shughuli ni moja tu peleka miti hadi utoe upepo mkuu.
Utasaidiwa soon.[emoji3]
Hayarudi semina ya ndoa inawezekana hukuelewa baadhi ya matumizi ya maneno yaliyotumika wakati unafundishwa
haha kazi ipo. mi pia napenda sana sex ila nilikutana na manzi ni balaa nikasalimu amri nikamkimbia.Wa kwangu alishaniweka wazi kabisa, anapenda sex kuliko chakula na kweli nimeamini, kwa hiyo kibarua ninacho kwa huyu mpare amenikamata