Mwanamke wangu anapenda mapenzi kila dakika na ni mke tutatoboa kweli?

Huenda Ni hormones ndo zinapelekea awe Ivo wako ambao sababu ya hormones anakua anachukia Sana tendo Na hafurahii Kuna wengine anakua anahisia za juu Sana ZA tendo muda wote Yuko on fire
hizo hormone zinapungua lini
 
Kula mihogo,ugali,matunda matunda,kunywa energy mara moja moja sio sana acha kula chips kazi utaiweza mpaka wewe ndo utakua unamsumbua sasa pia usiwe unamkamia eti umkomoe utachoka haraka wewe,badala yake we mpelekee moto taratibu fanya Kama unasugua kwenye Kuta za **** hapo hauchoki haraka badala yake atachoka yeye,ukioa Tako tu lake tu we mpelekee moto pia kua na hisia nae tatizo lako kijana huna hisia nae wawaza michepuko nje ndo mana huna hisia nae
 
Dawa yake➑️ Mruhusu afanye kazi akupumzishe ili nasi tukusaidie huku maofisini
 
TAFUTA MKONGO ULIKOMESHE HILO DANGA 😜😜
 
Dah, pole sana. I feel you. Sasa fanya hivi... Weka mafuta ya taa kwa msosi
 
Nyuzi za wavulana zina utoto mwingi sana




 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…