bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Lazima atakuwa kimbaumbau ndo huwa hawatosheki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimoja unampiga lisaa limoja na nusuutaweza kila dakika labda uwe ndo unabalehe na huna majukumu
hawaelewiKwa ambao hawajaoa au hawaishi na wake zao hawawezi kuelewa.Kuna muda mwanaume unakuwa umevurugwa moodless akili haipo kabisa unawaza mambo mengine kabisa ila na mke naye anataka! Au sometimes unataka uvutie time kidogo ili ujipange vizuri lakini na yeye anataka show😀 kazi kweli kweli.Hawajui kwenye sex anayetumia nguvu zaidi ni mwanaume, yeye kazi yake kupanua tu 😀
Huenda Ni hormones ndo zinapelekea awe Ivo wako ambao sababu ya hormones anakua anachukia Sana tendo Na hafurahii Kuna wengine anakua anahisia za juu Sana ZA tendo muda wote Yuko on fireTangu nizaliwe sijaona mwanamke anaupwiru kama huyu. Yaani ukitua kitandani tu mikono mwilini anataka show. Ukipiga show ya kawaida. utakuta bado anakupapasa hapo ujue ushavurunda.
Ukimpiga show babu kubwa aisee analala huko hana hata hamu analala kama amekufa.
Sasa changamoto anataka kila sikuuuu iendayo kwa mungu. Yaani hajali umechoka au jana mmepiga yeye hataki kujua muda wote mihemuko. Na labda utasema nimechoka nipige kimoja nilale hapo ndo umeyakanyaga maana bila show ile yenyewe anasumbua mikono kila sehemu had kero.
Napenda ngono ila huyu niliyempata amenizidi zaidi ya marasaba.Nataman mapumziko lakini wap
Ratiba ya nini🙂🙂🙂Huyo kiboko 😀😀
Mtulie mpange ratiba Sasa mpate na nguvu ya kutafuta hela
Hormones zimecheza hapoHIgh libido
Cha muhimu mkande kisawasawaNitaanzaje kumwambia maswala kama haya Hatutaelewana maana hatuna hata watoto
Kwan wanaongelea nn jamniRatiba ya nini🙂🙂🙂
Rinda liko intact?Tangu nizaliwe sijaona mwanamke anaupwiru kama huyu. Yaani ukitua kitandani tu mikono mwilini anataka show. Ukipiga show ya kawaida. utakuta bado anakupapasa hapo ujue ushavurunda.
Ukimpiga show babu kubwa aisee analala huko hana hata hamu analala kama amekufa.
Sasa changamoto anataka kila sikuuuu iendayo kwa mungu. Yaani hajali umechoka au jana mmepiga yeye hataki kujua muda wote mihemuko. Na labda utasema nimechoka nipige kimoja nilale hapo ndo umeyakanyaga maana bila show ile yenyewe anasumbua mikono kila sehemu had kero.
Napenda ngono ila huyu niliyempata amenizidi zaidi ya marasaba.Nataman mapumziko lakini wap
Kumbe eehHuenda Ni hormones ndo zinapelekea awe Ivo wako ambao sababu ya hormones anakua anachukia Sana tendo Na hafurahii Kuna wengine anakua anahisia za juu Sana ZA tendo muda wote Yuko on fire
Ampe tu haki yake asije Enda njeKwan wanaongelea nn jamni
Ndiyo Ni hormonesKumbe eeh
😆Nipe mimi huyo, napenda kwivhi kwichi kuliko kula.
Bora huyo anapenda, usiombe upate asiyependa aisee utatesekaTangu nizaliwe sijaona mwanamke anaupwiru kama huyu. Yaani ukitua kitandani tu mikono mwilini anataka show. Ukipiga show ya kawaida. utakuta bado anakupapasa hapo ujue ushavurunda.
Ukimpiga show babu kubwa aisee analala huko hana hata hamu analala kama amekufa.
Sasa changamoto anataka kila sikuuuu iendayo kwa mungu. Yaani hajali umechoka au jana mmepiga yeye hataki kujua muda wote mihemuko. Na labda utasema nimechoka nipige kimoja nilale hapo ndo umeyakanyaga maana bila show ile yenyewe anasumbua mikono kila sehemu had kero.
Napenda ngono ila huyu niliyempata amenizidi zaidi ya marasaba.Nataman mapumziko lakini wap
Au nasema uongo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwann vimbau mbau? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lazima atakuwa kimbaumbau ndo huwa hawatosheki