Mwanamke wangu anapenda mapenzi kila dakika na ni mke tutatoboa kweli?

Mwanamke wangu anapenda mapenzi kila dakika na ni mke tutatoboa kweli?

Huyo ni dada yako au demu wako? Kama ni demu wako basi mpelekee moto tuu mana sisi wengine tunatafuta wanawake kama hao afu ww unakuja kulialia hapa.
Wacha weeeee. Nyie wakusoma na kula kulala mnajifanyaga vidume kweli.

Yaani utoke kwenye mahangaiko ikiwemo kuchimba madini, kufyetua tofali au shambani alafu uje nyumbani mwanamke naye anataka umfanye kila siku round 3 au 4. Kisa cha kufa mapema ni nini. We piga chako kimoja then lala kesho ukapambane. Inawezekana hao wote hawana shughuli za kufanya.
 
[emoji23][emoji23] huyo mtafutie kaz afanye uhakikishe anafanya kaz haswa ili usiku akilala amelal na asubuhi ana amka mapema kwenda kazini ata Kwa wiki mbili au mwez na wew upumzike uku unamkusanyoa nguvu,, siku mkikutana ichape haswa Yani piga mpk uhakikishe imechanika chanika
 
[emoji23][emoji23] huyo mtafutie kaz afanye uhakikishe anafanya kaz haswa ili usiku akilala amelal na asubuhi ana amka mapema kwenda kazini ata Kwa wiki mbili au mwez na wew upumzike uku unamkusanyoa nguvu,, siku mkikutana ichape haswa Yani piga mpk uhakikishe imechanika chanika
😂😂😂huyu hata achoke hawezi acha mjegejo
 
Wacha weeeee. Nyie wakusoma na kula kulala mnajifanyaga vidume kweli.

Yaani utoke kwenye mahangaiko ikiwemo kuchimba madini, kufyetua tofali au shambani alafu uje nyumbani mwanamke naye anataka umfanye kila siku round 3 au 4. Kisa cha kufa mapema ni nini. We piga chako kimoja then lala kesho ukapambane. Inawezekana hao wote hawana shughuli za kufanya.
Nani aliwahi kufa kwa kufanya mapenzi sana. Kama nguvu zipo ww piga show tuu
 
😁😁

Sema wanawake aina hii huwa wanakuwa wepesi sana kufika kuliko wale ambao ni wagumu kupata moto. Hapa na hapa kakojoa, hapa na hapa tayari.

Cha kutia wasiwasi ni kama atakuwa na uvumilivu ukiwa haupo, ingawa unawezakuta anakuwa wa moto hivyo akiwa na wewe tu (ana hisia sana na wewe).
Nilikutana na 19 years of age at the 28 years of age alinipeleka nilikuwa na mpango wa kuweka ndan lakin niliacha tu mtoto aenda roud nying per day utadhani ni UZI Gun
 
Back
Top Bottom