Member wote wa JF kwangu ni kama sehemu ya familia. Humu unaweza kupata ushauri mzuri sana ambao unaweza kubadirisha maisha yako ina a positive way.
Ndugu zangu kwa huo utangulizi naombeni ushauri wenu kuhusu haya mahusiano yangu.
Siku ya Xmass nilileta uzi humu kuhusu wife kunikamata red handed nikijiandaa kutoka kwenda kula Xmass na mama wa mwanangu japo wengine mlimuita mchepuko.
Siku ile nilienjoy vizuri tu na mama wa mwanangu na niliweza kurudi mapema nyumbani ili kumtuliza wife. Wife nilimkuta ana huzuni kubwa hata kula hakuweza.
Niliingia nikiwa nimevaa sura ya upole na kumkalisha wife chini na kuzungumza naye.
Nilimuomba wife ajaribu kunielewa. Utetezi wangu mkuu ulikuwa ni kwamba "yule mwanamke nimezaa naye, hivyo mtoto wake hana tofauti yoyote na hawa watoto wetu wa humu ndani, hivyo hata yeye na mtoto wake wanastahili better treatment as you and our children".
Wife kwa sababu ananipenda hakutaka kuongea sana ila aliendelea kununa japo baadae alikaa sawa na amani ndani ya nyuma ilirejea.
Ushauri ninaouomba kwenu ni kuhusu huyu mpenzi wangu niliyetoka naye siku ya Xmass. Jumapili ya 29 Dec nilimtaarifu huyu mama wa mwanangu ningekuja kwao kumchukua tuende zetu sehemu lakini alinikatalia kwa kisingizio eti kachoka anataka kumpumzika.
Nilimwambia hatutaenda mbali, nataka tutoke kidogo tu then tutarudi. In fact yeye alihisi nataka kwenda kula tunda hivyo alikuwa anadai yeye amechoka na mimi nilimsistizia lengo langu wala sio kula tunda.
Baadae alikubali akasema nimfuate. Basi muda umefika namcheki kwenye simu nakuta simu haipatikani, nikaendelea kumcheki now and then bado tu simu haikupatikana. Baadae baada ya kupita kama saa moja hivi akapatikana.
Swali la kwanza nilimuuliza kwa nini simu umezima, akasingizia eti network ndio shida ila hakuzima simu.
Nilihisi anaongea uongo hivyo nikampandishia, nikamkoromea akanikatia simu na kuizima kabisa. Baada ya kama nusu saa hivi simu ikaanza kupatikana tena. Nilichomwambia tusijuane.
Kusema ukweli huyu mwanamke nampenda na hapa nafsi inanisumbua sana. Najishauri sijui nimrudie, sijui nimpotezee mazima tu. Naombeni ushauri wenu.
Kama huna cha kushauri naomba upite kimyakimya tu badala ya kutoa kejeli.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Ndugu zangu kwa huo utangulizi naombeni ushauri wenu kuhusu haya mahusiano yangu.
Siku ya Xmass nilileta uzi humu kuhusu wife kunikamata red handed nikijiandaa kutoka kwenda kula Xmass na mama wa mwanangu japo wengine mlimuita mchepuko.
Siku ile nilienjoy vizuri tu na mama wa mwanangu na niliweza kurudi mapema nyumbani ili kumtuliza wife. Wife nilimkuta ana huzuni kubwa hata kula hakuweza.
Niliingia nikiwa nimevaa sura ya upole na kumkalisha wife chini na kuzungumza naye.
Nilimuomba wife ajaribu kunielewa. Utetezi wangu mkuu ulikuwa ni kwamba "yule mwanamke nimezaa naye, hivyo mtoto wake hana tofauti yoyote na hawa watoto wetu wa humu ndani, hivyo hata yeye na mtoto wake wanastahili better treatment as you and our children".
Wife kwa sababu ananipenda hakutaka kuongea sana ila aliendelea kununa japo baadae alikaa sawa na amani ndani ya nyuma ilirejea.
Ushauri ninaouomba kwenu ni kuhusu huyu mpenzi wangu niliyetoka naye siku ya Xmass. Jumapili ya 29 Dec nilimtaarifu huyu mama wa mwanangu ningekuja kwao kumchukua tuende zetu sehemu lakini alinikatalia kwa kisingizio eti kachoka anataka kumpumzika.
Nilimwambia hatutaenda mbali, nataka tutoke kidogo tu then tutarudi. In fact yeye alihisi nataka kwenda kula tunda hivyo alikuwa anadai yeye amechoka na mimi nilimsistizia lengo langu wala sio kula tunda.
Baadae alikubali akasema nimfuate. Basi muda umefika namcheki kwenye simu nakuta simu haipatikani, nikaendelea kumcheki now and then bado tu simu haikupatikana. Baadae baada ya kupita kama saa moja hivi akapatikana.
Swali la kwanza nilimuuliza kwa nini simu umezima, akasingizia eti network ndio shida ila hakuzima simu.
Nilihisi anaongea uongo hivyo nikampandishia, nikamkoromea akanikatia simu na kuizima kabisa. Baada ya kama nusu saa hivi simu ikaanza kupatikana tena. Nilichomwambia tusijuane.
Kusema ukweli huyu mwanamke nampenda na hapa nafsi inanisumbua sana. Najishauri sijui nimrudie, sijui nimpotezee mazima tu. Naombeni ushauri wenu.
Kama huna cha kushauri naomba upite kimyakimya tu badala ya kutoa kejeli.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.