Tuanzie hapo?? Kwanini useme hivoInawezekana.
Sema inaweza kuwa red flag pia.
Unaulizaga kwa nini wewe ni shindikanaa?😁😁Inawezekana kabisa. Mbona mie ni 42 na nina watoto wanne na bado ni bikira.
Tapeli kivip ?Inawezekana kabisa. inategemea ni mazingira yapi anaishi au malezi gani aliyopewa nakumbuka mimi nilikutana na mwanaume kwa mara ya namjua mwanaueme nilikuwa 26 na miezi yake. japo nilikutana na tapeli kama matepeli wengine. ila inawezekana kwa herufi kubwa.
Tapeli wa bikra😂Tapeli kivip ?
Niache dunia ina changamoto sana. mbwa yule aliniharibia usichana wangu na bado akaniacha. niacheee sitaki kumbukumbuka jambazi lileTapeli kivip ?
Yeye alitoa rushwa ya bikra ili afanyiwe jambo fulani ika shindikana nae ni mhalifu tu ,mtoa rushwa.Tapeli wa bikra😂
lakini siilikuwa imeanza kutoka yenyeweInawezekana kabisa. inategemea ni mazingira yapi anaishi au malezi gani aliyopewa nakumbuka mimi nilikutana na mwanaume kwa mara ya namjua mwanaueme nilikuwa 26 na miezi yake. japo nilikutana na tapeli kama matepeli wengine. ila inawezekana kwa herufi kubwa.
Ulitoa rushwa ni kosa pia wewe na mhalifu mwenzako.Niache dunia ina changamoto sana. mbwa yule aliniharibia usichana wangu na bado akaniacha. niacheee sitaki kumbukumbuka jambazi lile
haha sikutoa rushwa ndugu yalikuwa ni mahusiano kama mengine ila ilikuwa long distance relationship. sikutoa rushwa nielewekeUlitoa rushwa ni kosa pia wewe na mhalifu mwenzako.
Na kidoti chako ukaachwa😁😁😁haha sikutoa rushwa ndugu yalikuwa ni mahusiano kama mengine ila ilikuwa long distance relationship. sikutoa rushwa nieleweke
Bikira Atoto.Inawezekana kabisa. Mbona mie ni 42 na nina watoto wanne na bado ni bikira.
kwenye mataa ndugu yangu. alafu baadae ndoa yake ilivyovunjika linanitafuta tena paka lileNa kidoti chako ukaachwa😁😁😁