TANZIA Mwanamuziki Hussein Jumbe afariki dunia

Mimi sio mzee ila nyimbo za hawa wazee huwa zinanipa burudani sana.
R.I.P Mzee nasi tupo njia hiyohiyo kasoro tu umetutangulia.
 
Hakika dunia ni mapito tu na itabakia milima tu.

Namkumbuka sana mzee wa KUCHECHEMEA ...HUSEIN JUMBE pale kisuma mbagala na Mwembe Yanga hakika nalia kwa uchungu sana ingawa ndiyo kazi ya Mungu haina makosa.

Jamaa ametutoka ameitwa na maanani ili neno litimie.
Your browser is not able to display this video.
 
yaani maisha yako yote mpaka mauti yanakukuta mishe zako ni kazi miongoni mwa kazi za Shetani(muziki) dah !

eeh Mwenyezi Mungu tujaalie mwisho mwema 🙏
 
Siri ya nini,wimbo bora kwangu Mungu amlaze mahali anapostahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…