TANZIA Mwanamuziki Hussein Jumbe afariki dunia

TANZIA Mwanamuziki Hussein Jumbe afariki dunia

Mwanamuziki mkongwe Hussein Jumbe amefariki muda huu wakati akiendelea na matibabu katika Hospital ya Amana, Dar es Salaam.


===========
Updates

Mwanamuziki maarufu wa dansi, Hussein Jumbe amefariki dunia.

Jumbe aliyeitwa Mzee wa Dodo na Mtumishi aliwahi kupitia bendi za Tabora Jazz, Mara Jazz, Urafiki Jazz, DDC Mliman Park ‘Sikinde’ na TOT Band, Juwata Jazz na Mikumi Sound, amefariki leo Jumatatu Aprili 10, 2023 katika Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam.

Habari ambazo Mwananchi zimetufikia hivi punde, Jumbe alikuwa akisumbuliwa na kifua kwa muda mrefu. Mwanamuziki huyo mkongwe atakumbukwa kwa nyimbo nyingi alizozitunga baadhi zikiwa ni Nachechemea, Nani Kaiona Kesho, Isaya na Kiapo.

Msiba upo nyumbani kwa marehemu Twangoma Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
RIP mwamba.

Aliwahi kuugua sana kipindi cha nyuma mpaka wakamzushia amededi. Mwamba akapona akaibuka na kibao kikali "Nachechemea"...
 
Msiba mkubwa kwa wanamuziki wa dansi. Mwanamuziki maarufu wa dansi, Hussein Jumbe amefariki dunia leo Jumatatu Aprili 10, 2023.

Jumbe aliyeitwa Mzee wa Dodo na Mtumishi aliwahi kupitia bendi za Tabora Jazz, Mara Jazz, Urafiki Jazz, DDC Mliman Park ‘Sikinde’ na TOT Band, Juwata Jazz na Mikumi Sound, amefariki leo Jumatatu Aprili 10, 2023 katika Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam.

Habari ambazo gazeti la Mwananchi limezipata ni kuwa Jumbe alikuwa akisumbuliwa na kifua kwa muda mrefu. Mwanamuziki huyo mkongwe atakumbukwa kwa nyimbo nyingi alizozitunga baadhi zikiwa ni Nachechemea, Nani Kaiona Kesho, Isaya na Kiapo.

Msiba upo nyumbani kwa marehemu Twangoma Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.​

View attachment 2583462
"Baada ya familia kuzoea nyumba

Nguzo nimeteteleka nyumba inayumba

Mi nateseka na maradh

Naumia mim kwa mawazo

Mi nateseka na maradh

Anaumia muuza Viat kwa mawazo

Sijui watoto wangu watakula nin"


Wanaume tumeumbwaaaaa

matesooo

mateso

Kuhangaika
 
Mwanamuziki mkongwe Hussein Jumbe amefariki muda huu wakati akiendelea na matibabu katika Hospital ya Amana, Dar es Salaam.


===========
Updates

Mwanamuziki maarufu wa dansi, Hussein Jumbe amefariki dunia.

Jumbe aliyeitwa Mzee wa Dodo na Mtumishi aliwahi kupitia bendi za Tabora Jazz, Mara Jazz, Urafiki Jazz, DDC Mliman Park ‘Sikinde’ na TOT Band, Juwata Jazz na Mikumi Sound, amefariki leo Jumatatu Aprili 10, 2023 katika Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam.

Habari ambazo Mwananchi zimetufikia hivi punde, Jumbe alikuwa akisumbuliwa na kifua kwa muda mrefu. Mwanamuziki huyo mkongwe atakumbukwa kwa nyimbo nyingi alizozitunga baadhi zikiwa ni Nachechemea, Nani Kaiona Kesho, Isaya na Kiapo.

Msiba upo nyumbani kwa marehemu Twangoma Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.

Kwa huu wimbo natumaini alijiandaa na kifo.



R.I.P Hussein Jumbe
 
Kuna muda unaweza maisha nikitu Gani? Fumbo gumu sana na mtihani mzito kwetu wanadam.

Wimbo wa nachechemea una mashairi mazito yaliyoenda shule ya vidumu na Chelsea achana na hizi blu bendi na skuli basi
Kweli mkuu kuna nyimbo ukisiliza kwa mimi mwenye machozi ya karibu unajikuta unatoa machozi yaani kama amekuimbia hisia zinakuwa kali kuwaza.
 
Back
Top Bottom