Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anatoka kigamboni kwenye msiba kwa maelezo ya banana ZorroMnaaza kulaumu malori wakati marehemu inasemekana alikuwa kalewa
kumaAmayODaah bora wangekufa wanawake 50 wa JF kuliko huyu mrembo
[emoji15][emoji125][emoji125][emoji125]Daah bora wangekufa wanawake 50 wa JF kuliko huyu mrembo
Kuna jingine lilikuwa linaitwa GEMA LAO sjui bado yapo yalikuwa yanakimbia sanaKwa kigamboni, malori ya mchanga usiku yanafunguka hatari huwa wanafosi trip basi ni tabu kweli, kuna moja lilikuwa linaitwa blue fire sijui kama lipo, ni tabu hiyo.
R.i.p NZELA
Yes, GEMA LAO nalikumbuka, yakifika pale mjimwema shule yanalala na speed kubwa kiasi tairi zinaserereka kabisa. Wakitoka njia ya kibada kuja mjimwema waende huko mwongozo, ni 100 tu, hapo zinagongwa horn tu, poh, pooh. Wameshasababisha ajali mara kadhaa.Kuna jingine lilikuwa linaitwa GEMA LAO sjui bado yapo yalikuwa yanakimbia sana
DuhDaah bora wangekufa wanawake 50 wa JF kuliko huyu mrembo
Dah nilikuwa high school enzi hizo bonge la ngoma mpaka leo ukilipga kama limetoka jana. Huyu dada alikuwa na kipaji haswaaWimbo wake NATAKA NIWE WAKO ni wimbo mzuri uliokonga nyoyo za mashabiki. Ile nyimbo ilitugusa hadi wanaume.
Nngependa ww ndo ungekuwa wa kwanza kupita hiviiiiiiii.kumaAmayO
Uzuri kifo hakina macho kingeona vijana msingekufa wazee tubaki.Nngependa ww ndo ungekuwa wa kwanza kupita hiviiiiiiii.
Daah..huu wimbo naukubali sana.Kibao chake cha Nataka niwe wako
huu mstari wa kwanza :"Sijui lini itafika "
na kweli imefika R.I.P
Mwanamuziki Maunda Zorro, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo (Alhamis ya April 14) baada ya gari alilokuwa amepanda aina ya VITZ kugongana uso kwa uso na lori la mchanga huko Kigamboni, Dar es Salaam.
Maunda Zorro ni mtoto wa muimbaji nguli wa muziki Zahir Ally Zorro pia ni mdogo wa mwanamuziki Banana Zorro.
Maunda Zorro aliwahi kutamba na vibao kama vile 'NATAKA NIWE WAKO' na 'MAPENZI NI YA WAWILI' ambavyo mpaka sasa vinapendwa na wapenzi wa muziki kwani ni aina ya muziki usiochuja.
Apumzike kwa Amani
=============================
Kaka wa marehemu ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva, Banana Zorro amesema:
"Nimezipata hizo taarifa ndio naelekea Hospitali ya Kigamboni, taarifa ni za kweli tulikuwepo kwenye msiba jioni ya leo wa rafiki yetu mwingine wa karibu, nilikuwa nae Maunda hadi jioni saa 11 hadi 12 nikarudi nyumbani kulala maana msiba ulikuwa Kigamboni na yeye anakaa Tuangoma.
"Chanzo cha kifo ni ajali ya gari, niliachana na Maunda saa 12 jioni ajali amepata mida ya saa 4 usiku, ila sina uhakika sana (wa muda aliopata ajali) hadi nikifika Hospitali maana nilirudi nyumbani nikiwa nimechoka sana."
View attachment 2186717
View attachment 2186720
Si tulielewana tunamuombea Kwa MunguRest easy dada. Nakuombea Mizimu yetu waipokee roho yako!