Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
πππ Wewe husikilizi hip hop so huwezi mfaham OgUnadhani ukimfahamu wote wanamfahamu? Na unadhani wote wanaishi kijijini? Nawashangaa sana mnaposema mnatawala kimziki. Sijui Wakenya mtaachaga lini ujinga wa kujisifia kwa taarifa yenu wasani wanaofahamika Bongo. 1. Sauti solo 2. Bahati 3. Willy Paul hao kidogo ndio maarufu lakini takataka nyingine hatuzijui ndio maana nimekwambia huyu msanii hajulikani na hata sijui anaimba vitu gani.
Si wewe ndio ulikuwa unasema Wakenya hatuwezi kuimba?Hongera zake, hard work forever pays!
Kweli uko sawa. Unaifahamu muziki wa Kenya. Nimefurahi kujua kuna Mtanzania kama wewe.Muziki wa Kenya naujua toka enzi za OGOPA ambapo wasanii wa Bongo video kali walikua wanaenda kufanyia kenya watoto wa juzi hawayafahamu haya.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Leo umeongea jambo zuri kuhusu Kenya. Sijui umekula nini leo.Wewe mzee mbona unalihusudu sana Yai?
Btw kuna jamaa anaitwa FidQ ni rapper mmoja mzuri sana ila sijui hua anakwama wapi kunyakua tuzo kama hizi...
Kaligraph sina shaka nae mimi nakubali sana nyimbo zake!!Na kinachomsaidia hua anaboresha sana mashairi yake lakini habadili style yake ya kuchana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama angesomea Tanzania angekuwa akili mgando.Sio alumni, hakumaliza university wala hajaenda law school maana alipata deal la kuwa presenter MTV. Yupo njema upstairs kiukweli
Sema tu ni vile huelewi kiingereza.Hapana mkuu huyo jamaa ni popular sana kwenye hip hop zile ngumu. Sema hip hop ngumu haipendwi na wadau wengi na ndio maana unaona kama hawajulikani
Ila kiuwezo hamfikii niki mbishi hata kwa dawa
Kali ni mkali lakini bado kuna ubishi, hata aongezeke mara mbili ya hapo hawezi kumpata niki mbishi/
Humfahamu kwa sababu unaishi chini ya mti.Kusema kweli hao waliompa tuzo wanaupendeleo wangempa hata Wahu.
Maana hata mimi pia simjui sema labda upepo tu umempitia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza mkuuwakenya kwa majigambo ..Kaligraph ni msanii mzuri ila hana jina sana kwa bongo mpaka uwe mfuatiliaji sana wa muziki ndio utamjua halafu acha kubrag na hizo tuzo za soundcity sijui ni moja ya vijituzo vidogo sana wala havina heshima kihivyo. lastly Bongo ndio baba lao katika music indutry kwa east africa. case closed
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38]Msanii wa Kenya ninae mjua ni nyota ndogo, huyu sina taarifa zake kabisa, anajihusisha na taarab au mnanda?
Kwani Kenya Kuna msanii gani anayejulikana kimataifa (nje ya E.A)?Kujulikana Bongo sio kigezo cha kuwa msanii bora, nyie huko huwa mumesindikwa ndani ya aina moja ya muziki, halafu pia nje ya yule Mrundi wa Kigoma anayeitwa Diamond, hakuna msanii mwingine wenu anayefahamika kimataifa, makajamba wengine wote hupigia makelele huko na wakisonga sana labda wafike Kenya.
Linaitwa Nairoberry sijui[emoji23][emoji23][emoji23] hujakutana na mjinga mmoja ndo utajua hate ni nini.. huyu hadi nairaland ana spread hate kuhusu watz
Tv yako ilisema amewapeleka Burundi?Hehehe!! Si juzi niliona kakumbuka roots, alijaza treni na kupeleka akina Dudu Mbaya kwao huko...
Wapo wengi tuKweli uko sawa. Unaifahamu muziki wa Kenya. Nimefurahi kujua kuna Mtanzania kama wewe.
Ni mnyama alomtoa og Nairobi kufanya nae ngoma bongo. YouTube emNiki mbishi ndio mnyama mgani?
Hoja zako ni nzuri ila bado una tongotongo mahali fulaniKama angesomea Tanzania angekuwa akili mgando.
ποΈπππ Amber rutty Ni that pornstar alikuea anachunishwa mboga?Ndio maana nilisema wengi wenu huwa hamna exposure, mnazungukia na kuishia hapo hapo Bongo. Hamjui chochote au lolote nje ya Mondi, Kiba na sijui akina wengine hao huko kwenu akina Amber Rutty...hehehehe