Naxvegas254
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 542
- 316
Of late shows za Bongo Artists zimepungua sana Kenya probably juu ya kina Ethic, Boondocks, Sailors na kina Ochunglo Family.Kujulikana Bongo sio kigezo cha kuwa msanii bora, nyie huko huwa mumesindikwa ndani ya aina moja ya muziki, halafu pia nje ya yule Mrundi wa Kigoma anayeitwa Diamond, hakuna msanii mwingine wenu anayefahamika kimataifa, makajamba wengine wote hupigia makelele huko na wakisonga sana labda wafike Kenya.
Sailors wa wanyonyeeezOf late shows za Bongo Artists zimepungua sana Kenya probably juu ya kina Ethic, Boondocks, Sailors na kina Ochunglo Family.
Best rapper lakini waga anakuja bongo kufundishwa uandishi na niccas john machuche.Dah, yaani Kenya mpaka kwenye muziki tunatawala Afrika, hamna chochote ambacho tumeachwa nyuma, hii nchi tumebarikiwa kuwa na watu wanaojituma kwa kweli, tunatawala kiuchumi, kielimu, kijeshi n.k.
Sio mchezo! Hongera sana Khaligraph Jones.
======
Celebrated Kenyan rapper Khaligraph Jones emerged top in Africa beating all the other African rappers in his category during the just concluded Sound City MVP Awards in Nigeria.
Jones was crowned the best Hip Hop rapper on the continent beating other renowned artists such as Sarkodie from Ghana and Ricky Rick from South Africa.
Other artists who had been nominated in the category included BlaqBonez (Nigeria), Falz (Nigeria), Kwesta (South Africa), Medikal (Ghana) NyaShinski (Kenya) and Reminisce (Nigeria).
While accepting the award, Jones thanked his fans for supporting him throughout his career and reminded the attendees, in his typical fashion, that he was the best rapper in Africa.
"I represent the 254 [Kenya] and East Africa. To some people, I know this is your first time seeing me and you are wondering who I am. I am the best rapper in Africa. The East has something to say," celebrated Jones to a beaming crowd.
Khaligraph Jones lies alongside the award he won in Nigeria on Saturday, January 11, 2020
Khaligraph bagged the award courtesy of his song Leave Me Alone which was released in June 2019 and has, so far, amassed up to 1.4 million views.
The awards were held at the Eko Convention Centre in Lagos, Nigeria on Saturday, January 11, 2020.
The annual event often looks to celebrate outstanding African artists that shaped the continent's music.
Throughout the event, Nigeria stood out as the country that bagged the highest number of awards as Burna Boy bagged his second successive win for African Artist of the Year.
Other winners at the awards show were Davido who was crowned Digital Artiste of the Year, Rexxie who won African Producer of the Year and Dope Nation from Ghana for Best Duo who were in the same category as Kenya's Ethic group.
Source: Kenyans.co.ke
Una utoto Kweli!😂😂😂It's @Scars
😁 Zero SufuriSailors wa wanyonyeeez
Kuna yule wa zimenishika anaitwa nani mkuu
Huyo mnyama uliyemtaja hata hajui kingereza. Kaligraph anaflow na lugha zote mbili. Kwa hivyo hakuna vile mbongo atamfunza jinsi ya kuandika kingereza.Best rapper lakini waga anakuja bongo kufundishwa uandishi na niccas john machuche.
Sent using Jamii Forums mobile app
unaota wewe mtu anaflow Ngoma za Eminem unasema hajui lugha alafu nick engneer yuleHuyo mnyama uliyemtaja hata hajui kingereza. Kaligraph anaflow na lugha zote mbili. Kwa hivyo hakuna vile mbongo atamfunza jinsi ya kuandika kingereza.
Hawa napata shida kuwaeleza kwasababu hata kiswahili hawakijui, sidhani kama haya tunayoyaongea wanayaelewaunaota wewe mtu anaflow Ngoma za Eminem unasema hajui lugha alafu nick engneer yule
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Ogopa deejays walienda wapi?Muziki wa Kenya naujua toka enzi za OGOPA ambapo wasanii wa Bongo video kali walikua wanaenda kufanyia kenya watoto wa juzi hawayafahamu haya.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Acha zako.Unadhani ukimfahamu wote wanamfahamu? Na unadhani wote wanaishi kijijini? Nawashangaa sana mnaposema mnatawala kimziki. Sijui Wakenya mtaachaga lini ujinga wa kujisifia kwa taarifa yenu wasani wanaofahamika Bongo. 1. Sauti solo 2. Bahati 3. Willy Paul hao kidogo ndio maarufu lakini takataka nyingine hatuzijui ndio maana nimekwambia huyu msanii hajulikani na hata sijui anaimba vitu gani.
Kigoma ipo Burundi?Kujulikana Bongo sio kigezo cha kuwa msanii bora, nyie huko huwa mumesindikwa ndani ya aina moja ya muziki, halafu pia nje ya yule Mrundi wa Kigoma anayeitwa Diamond, hakuna msanii mwingine wenu anayefahamika kimataifa, makajamba wengine wote hupigia makelele huko na wakisonga sana labda wafike Kenya.
Uno is good than all other Tamaduni's combined, Ukimtoa P the Mc.Namkubali huyu jamaa ila kiukweli Kaligraph hafiki hata robo kwa unju bin unuki
Ukianza kutafuta asili, hata wewe unaweza kukuta sio Mkenya.Watu wa Kigoma asili yao Burundi, ndio maana kila mkigombana nao mnapenda kuwakumbusha hilo, nimeona mara nyingi sana mkisema Zito Kabwe ni Mrundi hivyo aache kuzingua kwenye siasa, BTW kuna sehemu nilisoma kwmba mnataka kumpeleka Mondi akatwae hicho kiti cha Zito, kwamba tamasha ya juzi huko ilikua njia moja ya kuanza harakati.
Ukiona mtu anaulizia jina la huyo jamaa jua ya kwamba hata na yeye pia zimemshika. Ila huo wimbo nao bana. 😀Zero Sufuri