Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Si ndo alikuwa anamuuguza babake mjengoni?Ndiye mwenyewe mwaya, Mungu ni mwema waliyaweka sawa na mzee wake kabla hajafariki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndo alikuwa anamuuguza babake mjengoni?Ndiye mwenyewe mwaya, Mungu ni mwema waliyaweka sawa na mzee wake kabla hajafariki.
Rip.boongoo ina mengi mamaae,
tuuyaazingatie ya kwetuu,
wala tusiwape muda karagosi...
nainua mkono mamaaa... zibola mpenzi...
haya yote ni 9 tu, ua langu la moyoo...
pumzika Mzee Sugu King Kikii.
Kumbe ndio imeimbwa na huyu mzee, Baba Paroko ni bonge la nyimbo aisee...Apumzike kwa amani. Napenda sana wimbo wake wa baba paroko.
Pesa baba, ukimsifu anakupa mshiko.Uchwa umezi Bongo haki ya Mungu, tunaelekea kubaya sasa.
Tangazo la kifo cha nguli wa Kitambaa cheupe lina picha ya Samia ili iweje?
View attachment 3152903
Aiseee
Kuna siku tutaikuta mochwariUchwa umezi Bongo haki ya Mungu, tunaelekea kubaya sasa.
Tangazo la kifo cha nguli wa Kitambaa cheupe lina picha ya Samia ili iweje?
View attachment 3152903
Aiseee