and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Marhabaa mwanangu...Looh kweli .shikamoo baba.naona kuwepo jukwaa la wazee
Tumekwishazeeka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marhabaa mwanangu...Looh kweli .shikamoo baba.naona kuwepo jukwaa la wazee
Apumzike kwa AmaniKwema Wakuu?
Niko mahali hapa nasikia taarifa zisizo njema kuhusu huyu Mzee, zina ukweli wowote?
=====
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini Boniface Kikumbi Mwanza Mpango maarufu King Kikii amefariki dunia.
Amefariki Dunia Usiku wa kuamkia leo katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili ambako alikuwa amelazwa.
Mwanamuziki King Kiki Alikuwa Kwa Muda Mrefu akisumbuliwa na Maradhi Mara Kwa Mara
Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe, Amen
Chanzo Cha Habari:TBC RADIO
Huo hakuimba yeye, ni wa Makasy Junior. King Kikii kaimba kitambaa cheupe, kitoto chaanza tambaa n.kApumzike kwa amani. Napenda sana wimbo wake wa baba paroko.
Noted mkuuHuo hakuimba yeye, ni wa Makasy Junior. King Kikii kaimba kitambaa cheupe, kitoto chaanza tambaa n.k
Duh kumbe wewe ni kizee kabisaRIP classmate.
Jamaa nilisoma nae huyu shule moja na mzee Zahir Zoro, alipenda sana kuimba.
Duh! Apumzike kwa amani.
Kabisa mkuu..Du
Duh kumbe wewe ni kizee kabisa
Mwenyezi mungu amekataza unafiki, uzushi na uzandiki zidi ya wengine. Kuwachukia watu bila sababu ni jambo baya sana mbele ya mungu. Jitafakar nduguMwisho wa binaadamu ni kifo.
tujitahidi kuacha hadithi nzuri katika kipindi cha uhai wetu.
Bas kuanzia leo nimeacha kabisa kubishana na weweKabisa mkuu..
Kivipi?Amekufa bila kufaidi jasho lake la kazi kubwa aliyoifanya kwenye tasnia ya muziki Tanzania
Apumzike kwa amani
Mzee wa makongoloKwema Wakuu?
Niko mahali hapa nasikia taarifa zisizo njema kuhusu huyu Mzee, zina ukweli wowote?
=====
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini Boniface Kikumbi Mwanza Mpango maarufu King Kikii amefariki dunia.
Amefariki Dunia Usiku wa kuamkia leo katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili ambako alikuwa amelazwa.
Mwanamuziki King Kiki Alikuwa Kwa Muda Mrefu akisumbuliwa na Maradhi Mara Kwa Mara
Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe, Amen
Chanzo Cha Habari:TBC RADIO
Chumvi nimekula, mke wangu mdogo analingana umri na Faiza Foxy sio mchezo...Bas kuanzia leo nimeacha kabisa kubishana na wewe
Kumbe usipokuwa makin unaweza bishana na baba yako humu ndan bila kujua
Duh una wake wangapi Mzee mwenzaguChumvi nimekula, mke wangu mdogo analingana umri na Faiza Foxy sio mchezo...
Heshima kwako mkuu...tunasonga taratibu heshima mbeleChumvi nimekula, mke wangu mdogo analingana umri na Faiza Foxy sio mchezo...
Kwani walikuwa na mgogoro?Ndiye mwenyewe mwaya, Mungu ni mwema waliyaweka sawa na mzee wake kabla hajafariki.
Wakati familia ya MJ ikizidi kuneemeka hadi sasa.King Kikii aliishi uzeeni kwa kutegemea perfomance za jukwaani na siyo mirabaha ya kazi zake alizowahi kufanya ambazo zinachezwa sana.....
Ndugu, haya mashirika COSOTA, BASATA, TBC ni majinamizi kwa wasanii
Uzee ni hazina lakini. Muhimu maini hayazeekiMarhabaa mwanangu...
Tumekwishazeeka.