TANZIA Mwanamuziki Mkongwe, Boniface Kikumbi Mwanza Mpango (King Kikii) amefariki dunia

TANZIA Mwanamuziki Mkongwe, Boniface Kikumbi Mwanza Mpango (King Kikii) amefariki dunia

Kwema Wakuu?

Niko mahali hapa nasikia taarifa zisizo njema kuhusu huyu Mzee, zina ukweli wowote?

=====

Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini Boniface Kikumbi Mwanza Mpango maarufu King Kikii amefariki dunia.

Amefariki Dunia Usiku wa kuamkia leo katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili ambako alikuwa amelazwa.

Mwanamuziki King Kiki Alikuwa Kwa Muda Mrefu akisumbuliwa na Maradhi Mara Kwa Mara

Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe, Amen

Chanzo Cha Habari:TBC RADIO

Apumzike kwa Amani
 
Kwema Wakuu?

Niko mahali hapa nasikia taarifa zisizo njema kuhusu huyu Mzee, zina ukweli wowote?

=====

Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini Boniface Kikumbi Mwanza Mpango maarufu King Kikii amefariki dunia.

Amefariki Dunia Usiku wa kuamkia leo katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili ambako alikuwa amelazwa.

Mwanamuziki King Kiki Alikuwa Kwa Muda Mrefu akisumbuliwa na Maradhi Mara Kwa Mara

Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe, Amen

Chanzo Cha Habari:TBC RADIO

Mzee wa makongolo
 
Back
Top Bottom