TANZIA Mwanamuziki Mkongwe, Boniface Kikumbi Mwanza Mpango (King Kikii) amefariki dunia

TANZIA Mwanamuziki Mkongwe, Boniface Kikumbi Mwanza Mpango (King Kikii) amefariki dunia

Mamaaa zipooo mamaaa zipooooo - zipolaaa eeeee ; nainua mkono sheri eeeee - zipolaa mpenzi wanguuu..na kitambaaa cheupeee shushuuuu...mm na ww zipolaaa mamaaa eeee

Mwaka 2003 - 2004 nikiwa kijana nilicheza saana hii kitu pale officers mess masaki na wazee wa Mujini kina papi.

RIP.
 
Kwema Wakuu?
Niko mahali hapa nasikia taarifa zisizo njema kuhusu huyu Mzee, zina ukweli wowote?

=====

Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini Boniface Kikumbi Mwanza Mpango maarufu King Kikii amefariki dunia.

Amefariki Dunia Usiku wa kuamkia leo katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili ambako alikuwa amelazwa.

Mwanamuziki King Kiki Alikuwa Kwa Muda Mrefu akisumbuliwa na Maradhi Mara Kwa Mara

Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe, Amen

Chanzo Cha Habari:TBC RADIO
View attachment 3152544
Hakuna raha kama hii ya kuondoka duniani katika umri wa uzee. Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema huko ilipo sasa.
 
Back
Top Bottom