Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Kufaidi kupi au unadhani hajafaidi nini? Umeishi naye?Amekufa bila kufaidi jasho lake la kazi kubwa aliyoifanya kwenye tasnia ya muziki Tanzania
Apumzike kwa amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufaidi kupi au unadhani hajafaidi nini? Umeishi naye?Amekufa bila kufaidi jasho lake la kazi kubwa aliyoifanya kwenye tasnia ya muziki Tanzania
Apumzike kwa amani
Hapa alimaanisha nini?Fungua njia kitoto cha anza tambaa
Mwanae wa kike ndiye mmilikiHivi zile baa za kitambaa cheupe walikuwa wanampa kitu chochote huyu mzee?
Pole sanaYale matukio ya wimbo wa Baba Paroko yalinitokea Yote. Uvumilivu Umenisaidia.
Tafsiri anaijua mwenyewe ila alikua anataka nafasi zaidi kwa kuwa muziki wake ulikuwa umeshateka tanzania nzima!Hapa alimaanisha nini?
Mwendo ameumaliza.. Legacy ameaicha apumzike kwa amani sasaKwema Wakuu?
Niko mahali hapa nasikia taarifa zisizo njema kuhusu huyu Mzee, zina ukweli wowote?
....
King Kikii aliishi uzeeni kwa kutegemea perfomance za jukwaani na siyo mirabaha ya kazi zake alizowahi kufanya ambazo zinachezwa sana.....Kufaidi kupi au unadhani hajafaidi nini? Umeishi naye?
Yule Dada Jesca Kikumbi mmiliki wa Kitamba cheupe ni mmoja wa watoto wa huyu mzeeDuuuh! Yule dada wa kitambaa cheupe ni mwanae?
Mungu kampenda zaidi, atakumbukwa kwa burudani alizokuwa akitoa,hakika kaacha alama,mungu ailaze mahala pema roho yake, AminaView attachment 3152606
Mwanamuziki Mkongwe Kikumbi Mwanza Mpango King Kikii amefariki dunia...
Hakuna raha kama hii ya kuondoka duniani katika umri wa uzee. Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema huko ilipo sasa.Kwema Wakuu?
Niko mahali hapa nasikia taarifa zisizo njema kuhusu huyu Mzee, zina ukweli wowote?
=====
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini Boniface Kikumbi Mwanza Mpango maarufu King Kikii amefariki dunia.
Amefariki Dunia Usiku wa kuamkia leo katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili ambako alikuwa amelazwa.
Mwanamuziki King Kiki Alikuwa Kwa Muda Mrefu akisumbuliwa na Maradhi Mara Kwa Mara
Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe, Amen
Chanzo Cha Habari:TBC RADIO
View attachment 3152544