Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Ndo ivo mkuu japo naamini sheria ni msumeno ila sio kwa watu wenye ukwasi na umaarufu.Kaikosea system iliyompa umaarufu na sio kawakosea wamarekani
When woman loves[emoji848][emoji848]If he could turn back the hands of time [emoji3][emoji3][emoji3]
Hivi na America nao wanahesabu hivi?Akimaliza kifungo atakuwa na miaka 70.
55 umri alionao
30 day and night =15..
Tumuombe amejutia na kutubu makosa yake..
Sio America tu hakunaga kitu kinaitwa day and night duniani koteHivi na America nao wanahesabu hivi?
We acha tu...Kuna wimbo wake mmoja unatwa "THE BACKYARD PARTY sijui nimeupatia amejaza hao Malaya kwake Chicago, nasikia ndo wamemponza!I believe i can touch the sky.
I think about it every night and day.
Damn R.Kelly what happened my nicca!!! Damn hats ukipotea tutakukumba u inspired us through your music
Dammit!!
Mkuu kwenye kubaka hapo sijakuelewa [emoji849][emoji849][emoji848][emoji848][emoji1745]Safi sana akafie jela
Kwa wasiojua tu huyu jamaa alikutwa kwenye laptop yake images za watoto wadogo mpaka miaka miwili wakiwa uchi akiwa ame download images zaidi ya Elfu tatu
Amebaka sana ameshiriki ngono kwa underage
Hakuna ubaguzi hapo bali alitenda madhambi yote
Kuna watu washenzi sana hivi unaanzaje kuwa na mapenzi ya kuangalia uchi wa mtoto wa miaka miwili au mitatu kama sio sicko?
Jeffrey Epstein alikuwa mweupe kafa na dhambi zake na alikuwa rafiki mkubwa wa Prince Andrew na watu wamemchukia Andrew kuwa na rafiki wa hivyo
Nae alikuwa na kesi kama hii hii ya Kelly na alihukumiwa miaka 20 jela na baadae kukutwa kafa jela ya Manhattan
Ana watoto watatu, na ni divorcee kwa ex Andrea ( mmama kimeo kweli huyu)huyu jamaa ana mtoto?
Eti hajui kusoma wala kuandika hapo ndo nachoka mimi [emoji3166][emoji3166]Hata Mimi nilihofia issue ya Aliyaah maana ni ngumu. Alifoji vyeti ili amuoe na alikuwa kama ana miaka kama 14 au 16
Na bado sex tape iliyovuja [emoji2363][emoji2363]
Jamaa wamemmaliza Ila sitoacha kusikiliza nyimbo alizoimba na alizoandika. He was a genius
Ishu kama za MJ tu...hawataki black atoboeJamaa sijui kawakosea nini wamarekani aisee.
Eminem anabaka daily...kimyaa wametuliaa[emoji57][emoji57]Nambie mtu mweupe Maarufu aliepewa hiyo kesi akafungwaaaa...???
Yana wivu sana mazungu [emoji57][emoji57]Hii kesi imekaa kibaguzi sana ,naona wameamua kumfuta jamaa kwenye records kabisa kama vile hajawahi kuwepo naona hata baadhi ya nyimbo huko youtube wameamua kuziondoa
Yaan kuwazingua? Ugomvi wao ninini?Ukiwazingua freemason ni lazima wakuzingue.tupac,BIG small, michael jackson,dmx,left eye,kobe bryant,bob marley,and moore.
Hela ya shetani haiendi bure.
Kama Bill CosbyNi 30 without parole au with a possibility of parole?
Coz usishangae baada ya miaka 3 akawa uraiani
Hamna ...Mungu ni mwema, akae kwenye maombi hakuna jambo linashindikana kwakeDah!... Kwisha habari yake.
Binti wapi dear...Malaya tu wote hao walikuwa wanajiuza kwake , kwa msaada wa kuletwa na wazazi wao kwake, ( wazazi wenyewe njaa kali)Sasa yeye binti kwann alikubali?
Records nyingi sana zipo za wabaguzi wanatuondoa kwenye trend wakiendelea kututawala sijui lini tutakua na vyetuYana wivu sana mazungu [emoji57][emoji57]
KiruuuuuuSio America tu hakunaga kitu kinaitwa day and night duniani kote
Una roho mbaya kisa ni mgalatia. Angekuwa reject Tyson usingecomment hivi.Safi kabisa
Kutaka kujitoaYaan kuwazingua? Ugomvi wao ninini?