Mwanamuziki Robert Kelly (R. Kelly) afungwa kifungo cha miaka 30 jela


Half kuna wapumbavu eti wanakuambia freemason mtu afanye ubakaji half wasinginzie vingine
Mtu yeyote anayegusa watoto hata kwa utani achukuliwe hatua kali tena kufungwa adhabu ndogo wangekuwa wananyongwa
 

Hata wewe ukikutwa kwenye simu yako una picha za uchi za watoto ni kosa kuna kijana nimesoma nae alikutwa anaangalia picha za uchi sijui alizitoa wapi kafungwa miaka 20 Tabora
Kelly hsingiziwi kitu ni kweli na anastahili ni mbakaji mkubwa mbwa yule
 

Ni sawa kuna watu wanasingiziwa na wengine ni kweli kabisa wanafanya huyu R Kelly hasingiziwa bana, hata Tz sheria iwe kali mtu hata akimbusu mtoto sio wake afungwe
 
Half kuna wapumbavu eti wanakuambia freemason mtu afanye ubakaji half wasinginzie vingine
Mtu yeyote anayegusa watoto hata kwa utani achukuliwe hatua kali tena kufungwa adhabu ndogo wangekuwa wananyongwa

Wanaangalia upande mmoja eti black anaonewa wakati aliowatesa ni wasichana blacks mpaka ex wake

Nilifanya kazi ya Ukalimani nikaenda na kozi pia
Jambo moja nalikumbuka sana tuliambiwa iwapo kama Mtuhumiwa wa mauwaji akakuambia hata kwa Siri kuwa aliuwa hayo ni kuiachia mahakama akayaseme huko hata kama atasema sikuuwa bali wewe kakuambia vingine sio kazi yako
Mimi kazi yangu ni kusema anachojibu au anachoambiwa huku nikitafsiri

Ila hii sasa ya child abuse

Kama itatokea mtuhumiwa akaniambia kama Siri kuwa alimbaka huyo mtoto au alim abuse kwa njia yoyote
Hapo hapo naiambia mahakama au polisi kwa alichosema na atahukumiwa hapo hapo bila ushahidi mwingine

Hapo ndio utajua haki za watoto zilivyo na nguvu

Huyo afe tu
 
Hata wewe ukikutwa kwenye simu yako una picha za uchi za watoto ni kosa kuna kijana nimesoma nae alikutwa anaangalia picha za uchi sijui alizitoa wapi kafungwa miaka 20 Tabora
Kelly hsingiziwi kitu ni kweli na anastahili ni mbakaji mkubwa mbwa yule

Kuna watu wagonjwa dunia hii huyu mbwa aliwafanya vibaya sana wasichana na wavulana pia alikuwa na masharti yake ukiyavunja unakiona
Ni wale wanaopenda kuwatesa watoto kwa kuwafanyia wanavyotaka

Wengine wanaona eti picha ya watoto ni kawaida
Sasa picha ya mtoto mdogo yupo uchi anafanyia nini kama sio ushenzi

Sisi tuna society ambayo bado tuna utu unamkuta mama anamsaidia mtoto mdogo kujisaidia tena mbele ya watu lakini watu wanaona kawaida bila kuwaza ushenzi
Ila wapo kama hawa
 
He was??baada ya kufungwa ugenious umeisha??

Huyu jamaa ni mwamba,kwenye music.
 
Kmmk wazungu hawakwepeshi yaaani
 
Hii kesi ni kama ya Wacko Jacko tu, ukitaka kutoka kwenye Game(Music industry) either kwa kuokoka au kuwa mcha Mungu Muslim, wakubwa wa Music Industry, mostly Jews, hawataki utoke hivi hivi lazima wakuharibie image yako hasa kama ulikua ni mtu mweusi. Behind the scene kuna figisufigisu amefanyiwa, ni kesi za kutengenezewa.
 
Duuh haya mkuu

Hili la kumuua nimeshtuka, nilidhani atajiua[emoji849][emoji848]
 
Hata wewe ukikutwa kwenye simu yako una picha za uchi za watoto ni kosa kuna kijana nimesoma nae alikutwa anaangalia picha za uchi sijui alizitoa wapi kafungwa miaka 20 Tabora
Kelly hsingiziwi kitu ni kweli na anastahili ni mbakaji mkubwa mbwa yule
Duuuh mkuu acha kumwita mbwa my crush wangu banaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…