Hata huku vitengo vya magonjwa ya akili vipo mkuu....niwew kuwaona tuWenzetu kila kitu kina daktari wake...!!!huku kwetu shida tupu
labda huko uliko!Wenzetu kila kitu kina daktari wake...!!!huku kwetu shida tupu
Wenzetu kila kitu kina daktari wake...!!!huku kwetu shida tupu
Nyumbani kwanza , atakua haijui milembe huyu walahiAcha ujinga wewe, labda huko uliko na uzembe wako!
Tanzania we have the best mental disorders hospital walahi
Tembea utoe matongotongo walahi
Acha ujinga wewe, labda huko uliko na uzembe wako!
Tanzania we have the best mental disorders hospital walahi
Tembea utoe matongotongo walahi
Wenzetu unawajua?wenzetu ndo sisi wenyeweWenzetu kila kitu kina daktari wake...!!!huku kwetu shida tupu
Hahahaha sasa siku mwanao anarudi nyumbani kavaa hivyo kisa alimuona Selena akapenda alivyovaa sijui utamfanyeje.Maskini ka dada ka watu, hata kalivyovaa hapo kwenye picha kanaonekana ugonjwa ulikuwa umeanza kukanyemelea kwa mbali
πππ Mungu apishie mbali, naweza kumpiga hata na mwiko wa kusongea ugali. hahahahahahHahahaha sasa siku mwanao anarudi nyumbani kavaa hivyo kisa alimuona Selena akapenda alivyovaa sijui utamfanyeje.
hakuna uwiano wowote na mavazi..hizo ni swagga tu on stage as mwanamuziki..Maskini ka dada ka watu, hata kalivyovaa hapo kwenye picha kanaonekana ugonjwa ulikuwa umeanza kukanyemelea kwa mbali
Ni ugonjwa mbaya mnooo , watu hawajui tuuuDepression ni ugonjwa mbaya sana. Pole kwake selena
Haka ni katoto au kamtu kazima maana sielewi usoni katoto miguu ina vigimbi?Staa wa Pop Selena Gomez '26' amelazwa kwenye hospitali ya wagonjwa wa akili baada ya kupata matatizo ya AKILI Na Msongo Wa Mawazo.
Selena alilazwa hospitalini mara mbili wiki mbili zilizopita, matatizo haya yanachangiwa na hali yake ya afya baada ya kufanyiwa upasuaji wa Figo.
Madaktari wanasema sababu za kupelekwa moja kwa moja kwenye kitengo cha matibabu ya Akili ni baada ya Selena kuchomoa mirija ya Drip akiwa kitandani huku akionyesha dalili za kutotaka matibabu na kuhatarisha
maisha yake.View attachment 894213
Si ndo apo sasa....hahahahhahsi uhamie huko sasa huku unafanya nini ....