Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
- Thread starter
- #21
Nadhan amemaanisha vingine ila hamjamuelewa kuna ugonjwa wa akili na msongo wa mawazo. Huku sidhan kama kuna hao madokta bingwa wa kutibu msongo wa mawazo kwa akina sie tusio na pesa ndefu.
Hata huku vitengo vya magonjwa ya akili vipo mkuu....niwew kuwaona tu
labda huko uliko!
Tanzania we have the best mental disorders hospital walahi
Tembea utoe matongotongo walahi
Mkuu acha kukurupuka basi uliza kabla ya kutoa hizo kashfa.Nyumbani kwanza , atakua haijui milembe huyu walahi
That's all
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 huyo itakua ni wale vijana wa kile chama cha pale kinondoni kilichopo mtaaa wa jina la kabila moja la kule nyanda za juu kusini ....... ukute anakaa kwa shemeji yake 😎😎