TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

Huwa nawachanganyaga hawa jamaa mandogo namuita domo kaya, domokaya namwita mandojo .. kama wiki nyuma nmemuona Domokaya tbc akakumbushia ngoma zao kuna ile ya dingi naikubali sana..
Apumzike kwa amani🥺 kifo cha kusikitisha sana
Mimi zamani nilikua najua Mandonjo na Domokaya ni ndugu wa damu! Hawa jamaa walikua na urafiki wa kweli kabisa,hakuna bifu wala nini,pia nyimbo zao licha ya kuburudisha,pia zilikua na mafundisho mazuri sana,

Rest easy Legendary.
 
Mkuu, mara ya kwanza kuuona huu wimbo nililia pale dingi alipojinyonga. Ni miaka kingi imepita lakini bado huu ni wimbo wangu bora kabisa.

Juzi kati hapa alikuja kufanya kolabo na yule mtoto wa Gadner, Malkia Karen niliupenda pia.

Apumzike pema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…